mmenikumbusha chupi yangu aina ya VIP nilikuwa naikubali tatizo ilikuwa zinakatka ghafla na kupanda tumboni
Mkuu Kipindi hicho mimi peke yangu ndiye nilikuwa Namiliki Chupi aina ya VIP na Mtaa Mzima walikuwa wanafahamu. Sasa Masharobaro wakitaka kwenda Kumega Videmu vyao walikuwa wanakuja Kuazima Chupi, nilikuwa siwanyimi Masela wangu. Nilikuwa nikienda kucheza Mpira nilikuwa navua bukta nabaki na VIP yangu. Ha ha haaaaaaaaaaa
Rutashubanyuma Ha ha haaa ila Chupi sio Boxer...........
Rutashubanyuma Mkuu Miaka hiyo Chupi ilikuwa kitu adimu sana na tulikuwa tunavaa watoto wa Kota tu ha ha ha, na tulikuwa tunaonekana Watoto wa Kishuuuuuawe Albedo ni kiboko yao........................yaani chupi unaweza kumwazimisha mtu na bado ukaivaa.........???????
Rutashubanyuma Mkuu Miaka hiyo Chupi ilikuwa kitu adimu sana na tulikuwa tunavaa watoto wa Kota tu ha ha ha, na tulikuwa tunaonekana Watoto wa Kishuuuuua
heeheehe ,makubwa tatitzo na nikisema hakuna hutoamani ,
Ndahani hapo ndipo babu anapoanza kuchunguliachungulia............na aibu kuwa ya mvaaji pekee yake!
Sashel.......usimcheke mpe ushauri kwa kumwonyesha wewe ungelipenda awaje...............mpe elimu na Mtambuzi ataelimika.............[/QU
Sasa keshaamua kuwa na likaptula sa apo utafanyaje..mi naona boxer ndo nzuri maana inahifadhi vizuri vifaa kuliko mkaptula I can only imagine when in hurry how the tools jumping and twisting...:eek2: hahahha
Sashel hasa ukijua kale kafurushi umeumbiw kwa matumizi yako binafsi lazima usikie maraha, vile..........
Duh... Hii imeniepuka, maana mie navaa Likaputula badala ya chupi................
Kwani mlikuwa hamjui kwamba chupi husababisha maumbile kuwa KIBAMIA, nani anataka kero hiyo..... Mie najivalia Likaputula langu ili maumbile yangu yajimwae-mwae kwa ustawi wa kukua kwa unene na kimo...................LOL
Nimeupenda uzi wako huu na like nimekupa