mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Mkuu wewe sikuwezi.
Mimi nina zote, na wakati wa Summer siwezi kuvaa brief, kwa maana nitakosa hewa
Boxer navaa zaidi wakati wa summer..
Sasa tukija bongo.....mmmh sijui kama wakina dada wengi wanajua ipi ni ipi
Hapo kwa red: binafsi nimegundua kuwa watz wengi waishio ng'ambo wanakaa muda mrefu sana huko bila kwenda home angalau kusalimia, ndo maana wengi wanakuwa hawajui kasi ya mabadiliko ya kimaisha ktk nchi yetu. Utakuta bado wana mawazo kama ya huyu Okada kuwa kitu fulani bongo hukipati, kumbe vitu kibao tu vya ulaya vipo bongo.
