Pengine; nimekutana na malaika kutoka mbinguni

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Ni hivi, upwiru unavyozidi mtu una hangaika hangaika, nimekutana na m-shangazi mmoja hivi, sasa hapa na pale tukaelewana tukaweka miili yetu kitandani

Siyo kesi, nikawa nasubiri ile sehemu ya pili, invoice, nilistaajaabishwa hakukuwa na invoice wala nini, nikasema labda kwasababu ya show ya kibabe labda imefidiia

Nakwambieni, leo ni wiki ya pili, hakuna invoice yoyote na mzigo naendelea kupewa, nimestaajabishwa sana, pengine ni malaika kutoka mbinguni au na-setiwa niingie kwenye mfumo vizuri

Bado nastaajabu
 
Duh malaika wa mbiguni na issue za ngono tena duuh

Anyway maisha yaendleeee
 

Kwani VP Mpango alisema je kuhusu wale vijana wa hovyo?
 
Kapime uuone kama hakuna tu invoice twa UTI sugu!, tena ukicheza vibaya li invoice la HIV ukute linawekwa taratibu! nyamnyam itakuwa nyemnyem!..😂
 
Kapime uuone kama hakuna tu invoice twa UTI sugu!, tena ukicheza vibaya li invoice la HIV ukute linawekwa taratibu! nyamnyam itakuwa nyemnyem!..😂
Kwani mkuu unataka kuishi muda mrefu kama kobe?
 
Hivi malaika ni mwanaume au ni mwanamke,pia hapo labda ungesema umekutana na malaika walioasi yani shetani na mawakala zake ila wa kutoka mbinguni hawana mambo hayo mnayoyafanya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…