MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Hakika nitalifanyia kazi ngoja niendelee kula mema ya nchiSasa we ng'atuka kabla hujaingia kwenye mfumo
Enjoy life is too shortHakika nitalifanyia kazi ngoja niendelee kula mema ya nchi
Duh malaika wa mbiguni na issue za ngono tena duuhNi hivi, upwiru unavyozidi mtu una hangaika hangaika, nimekutana na m-shangazi mmoja hivi, sasa hapa na pale tukaelewana tukaweka miili yetu kitandani
Siyo kesi, nikawa nasubiri ile sehemu ya pili, invoice, nilistaajaabishwa hakukuwa na invoice wala nini, nikasema labda kwasababu ya show ya kibabe labda imefidiia
Nakwambieni, leo ni wiki ya pili, hakuna invoice yoyote na mzigo naendelea kupewa, nimestaajabishwa sana, pengine ni malaika kutoka mbinguni au na-setiwa niingie kwenye mfumo vizuri
Bado nastaajabu
Hakika, hilo ni dhahiri na shahiriEverything came with a price to pay 🤓
Wale 72 wa huko juu wameanza kuingia dunianiDuh malaika wa mbiguni na issue za ngono tena duuh
Anyway maisha yaendleeee
Ni hivi, upwiru unavyozidi mtu una hangaika hangaika, nimekutana na m-shangazi mmoja hivi, sasa hapa na pale tukaelewana tukaweka miili yetu kitandani
Siyo kesi, nikawa nasubiri ile sehemu ya pili, invoice, nilistaajaabishwa hakukuwa na invoice wala nini, nikasema labda kwasababu ya show ya kibabe labda imefidiia
Nakwambieni, leo ni wiki ya pili, hakuna invoice yoyote na mzigo naendelea kupewa, nimestaajabishwa sana, pengine ni malaika kutoka mbinguni au na-setiwa niingie kwenye mfumo vizuri
Bado nastaajabu
Hapa ni babu na m-shangaziKwani VP Mpango alisema je kuhusu wale vijana wa hovyo?
Kwani mkuu unataka kuishi muda mrefu kama kobe?Kapime uuone kama hakuna tu invoice twa UTI sugu!, tena ukicheza vibaya li invoice la HIV ukute linawekwa taratibu! nyamnyam itakuwa nyemnyem!..😂
hata huo mfupi tulionao tusiufupishe zaidi sasa kuwa makini tunza kizaziKwani mkuu unataka kuishi muda mrefu kama kobe?
Hapa ni babu na m-shangazi
Nipime ili nigundue nini mkuu?Unachokitaka ndicho unachokipata. Nenda Kampime damu.
Hilo nalo nimelitazamiaUtapewa invoice ya mkupuo
Hivi malaika ni mwanaume au ni mwanamke,pia hapo labda ungesema umekutana na malaika walioasi yani shetani na mawakala zake ila wa kutoka mbinguni hawana mambo hayo mnayoyafanya...Ni hivi, upwiru unavyozidi mtu una hangaika hangaika, nimekutana na m-shangazi mmoja hivi, sasa hapa na pale tukaelewana tukaweka miili yetu kitandani
Siyo kesi, nikawa nasubiri ile sehemu ya pili, invoice, nilistaajaabishwa hakukuwa na invoice wala nini, nikasema labda kwasababu ya show ya kibabe labda imefidiia
Nakwambieni, leo ni wiki ya pili, hakuna invoice yoyote na mzigo naendelea kupewa, nimestaajabishwa sana, pengine ni malaika kutoka mbinguni au na-setiwa niingie kwenye mfumo vizuri
Bado nastaajabu