Angekuwa na kiti mbinguni pembeni mwa Mungu ingekuwa sawa, Roma kama Dar tu sema yenyewe imejengwa kwa ustadi
Ndio majibu ya nilichouliza????? πππNi power, Kanisa Katoliki ni Dola na Mkuu wake ni Papa!
Unataka alihamishie kanisa lote ufipa?Mwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA TUMUOMBE TUNDU LISSU
Aleee aziniiiiiiiiii chukuaa somo hili kuwa kwa mungu hakuna democrasia huwezi fanyiwa kile ambacho wwe unakipenda zaidiHATARI SANA! Hata akiwazini wake na watoto wa waumini wake!!! Hata akila sadaka na kulihujumu kanisa!!! Hata... hata... hata...
Acheni tuijenge nchi
Ukipona utakuja tujadiliUnataka alihamishie kanisa lote ufipa?
Naomba kupinga hii hoja Mkuu, tutaondokewa na celebrities humu na hakika patapooza!Nashauri uongozi wa jamiiforum ulete mfumo mpya kwa wanaojiunga na huu mtandao.....angalau kuwe na vi IQ test vitakavyochuja wenye below average score
Ndio akili yako ilipogota hapo.Ukipona utakuja tujadili
1.Pole maana ww ndio huujui ukweli,Pengo anamsema askofu mwenzie kwamba siyo msemaji wa kanisa na kwamba yale ni mawazo yake binafsi na yeye anasahau kwa wakati huo huo kwamba pale alipo siyo msemaji wa kanisa na wala hajatumwa na kanisa,alipaswa kutohukumu maana makosa anayo muhukumu mwenzie naye yy ndio hayo kayarudia, na kwamba alipaswa kusema wazi kuwa kile anachokisema yy pia ni mawazo yake binafsi kwani bado hana hadhi ya kuwa msemaji wa kanisa katoliki tanzania.Huwa hampendi kuambiwa ukweli.....
Mbna hamkumkosoa GWAJIMA kipindi kile yupo upande wenu....
Askofu PENGO yupo sahihi maana kaona mtu sahihi
Kama ambavyo Mbowe anavyosifia mazuri ya MAGUFULI....mbna hausemi ana kiharibu chadema?
Kwa Wakatoliki Kardinali ni mtumishi wa Mungu, anateuliwa na Mungu baada ya kushukiwa na roho Mtakatifu hivyo sauti yake ni Sauti ya Mungu kwa Wakatoliki!
Kwa cheo chake HIS EMINENCE Polycarp Cardinal Pengo (prospective Holy Father or Pope) ni raia wa VATICAN Kwa sheria za Tanzania anapaswa kuukana uraia wa Tanzania (kama bado hajaukana) mpaka Leo.Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Mungu hawezi kufanya uteuzi wa kitumbafu hivo.Ni swala la mtazamo tu, kwako ni kauli ya ukakasi kwa wengine ni kauli ya Mungu kwani Kardinali ni mtumishi wa Mungu ambaye ameteuliwa na Mungu kuwa Kardinali wa Kanisa Katoliki hivyo sauti yake ni sauti ya Mungu kwa wafuasi wa Kanisa Katoliki!
Mwanahabari Huru
Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.
Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.
Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.
Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,
Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.
Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.
Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA TUMUOMBE TUNDU LISSU
Nasisitiza tutajadili suala hili ukishapona ama ukiwa timamu πππ.Nasisitiza tutajadili suala hili ukishapona ama ukiwa timamu πππ
Siyo swala la ujinga au werevu ni swala la power, kuna Wakatoliki wengi Tanzania ambao hawawezi kuhoji ushauri wa Kardinali wao, kwao ni mtumishi wa Mungu na akisemacho kina baraka za Mungu, hivyo ndivyo ilivyo!
Hapa umedanganya.....Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima
Mungu hawezi kufanya uteuzi wa kitumbafu hivo.
MUNGU yupi?Msaliti kwako, lkn kwa Wakatoliki ni Mtumishi Mungu na kauli yake ni kauli ya Mungu kwani ana roho Mtakatifu ndani yake!
MUNGU yupi?
Tuanzie hapa kwanza=kwanini watu wanahitaji katiba mpya?