Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Pengo: Kauli ya Askofu Niwemugizi (kwamba Katiba Mpya ndiyo kipaumbele cha wananchi) siyo msimamo wa Kanisa Katoliki

Hapo kuhusu Gwajima ni uwongo mkubwa. Pengo hajawahi mshitaki Gwajima.

Pia kumbuka maelezo ya Pengo yalikuwa kwamba anafafanua kuwa kauli ya Niwemugizi siyo ya kanisa kwani tayari ulikuwa na hiyo argument iliyohitaji ufafanuzi
Kwa hiyo kauli ya Pengo ndio kauli ya kanisa ??!!
 
Mwanahabari Huru

Askofu Pengo unafiki sio sehemu yetu wakatoliki, sikutaka kuandika chochote kuhusiana na wewe, mimi nimebatizwa katika RC nimekuwa muumini mkubwa, nimesoma shule ya Upadri St Mary's Seminary, ninaijua Rc.

Nimesikitishwa sana na kauli zako za kipuuzi, zilizo jaa unafiki, tumekusikia sana ukijipambanua kuwa wewe si muumini wa mabadiliko, tuambie upande wako ni UPI.

Askofu wangu Pengo umemjibu Askofu Niwemugizi alie jitokeza hadhalani na kusema watanzania wanataka katiba mpya, umefufuka ulikotoka na kumshambulia Askofu kuwa katiba au maneno ya Askofu sio msimamo wa RC lakini hakusema kuwa ni msimamo wa RC. Lakini unajua Askofu Niwemugizi si msemaji wa Rc, maana yake alisema kama Mawazo yake kikatiba, na wewe unamjua msemaji wa RC ulitaka kutafuta uhalali wa kujibu mashambulizi la watawala, of target.

Naona umetoka kwa kasi sana kujibu shambulizi hill!,! Lakini hutoki hadhalani kuonya matukio ya kuuwawa kwa watanzania na kutupwa kwenye maji wakiwa wamefungwa mikono Nyuma, wanaopigwa Risasi kama kina tundu Lissu, kuonya viongozi wanao toa maneno ya kibaguzi na kikabila, huwezi kuonya kufokea au kushauri, kazi yako imekuwa ni kujibu mashambulizi kwa wanao ikosoa serikali,

Au unavyeti feki? Unamiliki Mali zisizo halali? Kiongozi wa kiroho unashindwa kujua nini wajibu wako? Sio mala ya kwanza kupingwa na maaskofu wenzio akiwepo Gwajima na kupelekana mahakamani ambapo Askofu Gwajima alikushinda kesi.

Viongozi wa dini simamieni haki na sio unafiki kujipendekeza kama mnataka ubunge, au teuzi za kina mama Lwakatale sawa, Hata mkitaka usemaji wa Ccm nafasi za kina polepole.

Swali la Kizushi: WATU WASIOJULIKANA WANATOKEA RWANDA PREY FOR TUNDU LISSU
Nyie wakosa adabu wa chadema huko mnakokwenda msidhani mnakijenga chama bali ni kuendelea kkiuwa.
Hawa viongozi wetu wa kiimani wakiongea waacheni wajibizane wao kwa wao kwani ndio wanaojua nini kanisa lapaswa kutenda.
Pia wewe kusoma sunday scchool kusikufanye ukawa umeujua uRoman Catholic kuliko Kadinali Pengo. Mnaelekea kutengeneza wakatoliki chadema na wakatoliki wazalendo wa Tanzania. Komeni kumshambulia huyu mzee humu mitandaoni. Mjue kuwa si wote watakao vumilia kuona mkidhalilisha humu. Alivyojengwa kiimani mzee huyu watu wengi wamemfanya kuwa kiigizo bora kwao. Sasa wewe mkosa adabu ukianza kumshambulia tena si rika lako kwa kweli inaumiza sana. Chunga sana kama wazazi wako hawakukufunza kuheshimu wakubwa dunia itakufunza. Kumbuka si kila vita hupiganwa.
 
Papa hana amri yoyote ndugu kama makadinali wakimgomea ndio maana kuna kitu kinaitwa sinodi wanakutana wale wanaamua wanazodoana wee huko ndani wakitoka na jibu moja
Papa hajiongozi bali anaongozwa na makadinali kote duniani hawa wanauwezo wa kumwambia huko unakoenda siko


Hakuna kitu unajua, ikitaka kuulewa Ukatoli, angalia mfumo wa Tanzania au Monarchy kamaUingereza ndiyo utaelewa, Papa ni Kiongozi wa Kisiasa, Roma ni Dola, kuna Bunge, Mahakama na Serikali ambazo zote ziko chini ya Papa na maamuzi yake anachaguza aidha ashirikishe Serikali (Bunge, Mahakama na Serikali) au aamue mwenyewe, ndiyo maana Tanzania kuna Ubalozi wa Vatikani, unafikiri Balozi wa Vatikani Tanzania anamuwakilisha nani?!

Ndiyo maana Ulaya kulikuwa na Mapinduzi yaliyoanzishwa na Martin Luther (Martin Luther original na siyo yule msanii wa USA) ambaye ndiye muanzilishi wa Uprotestani/Ulutheri Duniani, kufanikisha hilo kulitokea Vita kubwa Duniani ambayo ilijulikana kama thirty years war ambapo Mamilioni ya Watu walipoteza maisha, na Vita ilikuwa ni Kidini/Kisiasa ambapo Ukatoliki vs Ulutheri!
 
Kuwa nastaha unapotoa Maoni yako, pia tambua kuwa na kiti vatcan na kuwa na opportunity ya kumpigia simu Papa siosababu tosha ya kutokuwa Msaliti. Askofu Niwemugizi, alisema Maoniyake yasichukuliwe kuwa ni Maoni ya kanisa. Yeye ni mtanzania kama wewe na Mimi anahaki ya kutoa Maoni. Na huo ni wajibu na haki ya kila binadam aliye hai.


Msaliti kwako, lkn kwa Wakatoliki ni Mtumishi Mungu na kauli yake ni kauli ya Mungu kwani ana roho Mtakatifu ndani yake!
 
Ni swala la mtazamo tu, kwako ni kauli ya ukakasi kwa wengine ni kauli ya Mungu kwani Kardinali ni mtumishi wa Mungu ambaye ameteuliwa na Mungu kuwa Kardinali wa Kanisa Katoliki hivyo sauti yake ni sauti ya Mungu kwa wafuasi wa Kanisa Katoliki!
Uoni wako hafifu!!
Ndicho nachoweza kusema
 
Papa nini wewe mammalia ? umesahau papa Francis aliachia ngazi sasa nani mkubwa kati yake na huyu kijakazi wa CCM?


Kijakazi kwako lkn kwa Wakatoliki Tanzania Kardinali ni Mtumishi Mungu, mimi Bibi yangu anashinda Kanisani, anasikiliza Redio Maria siyo tbc,itv au sijui star bali Redio Maria au Tumaini tu na kesho Kardinali akimwambia Wakatoliki tuipigie kura CCM hatouliza wala kujadiliana na mtu atafwata tu, na ninakuhakikishia Wakatoliki kama Bibi yangu wako idadi ya kutosha tu!
 
Ni nani amekudanganya Kanisa Katoliki linajitegemea? Hivi hizi Dini mnazielewa lkn au mnafwata mkumbo tu? Hivi unafahamu kwamba Askofu Mkuu wa Jimbo lao ameletwa kwenye Jimbo lako na Papa aishiye Roma na kwamba wewe kama muumini na mkazi wa hilo Jimbo hauna uwezo wowote wa kuamua ni Askofu yupi awe Mkuu wa Jimbo lako? Ni kama vile Mkuu wa Mkoa/Wilaya Raisi ndiyo anaamua nani amlete kukuongoza Mkoani/Wilayani kwako na haijalishi kama unampenda au laa na hakuna kitu utafanya, basina Ukatoliki ni hivyo hivyo!
Sio ameolewa kwenye jimbo na Papa yeye huidhinisha tu ila wanaoteua jina ni baraza
 
Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Halafu upuuzi mwingine anaoufanya ni kutaka kauli yake ndio isimame kwa niaba ya wakatoliki wote.

Heshima anayopewa Baba Askofu Pengo ni kubwa sana lakini lazima mtu atambue nguvu ya kiti chake, na mahusiano chanya kati ya kanisa na serikali, tangu siku ya kwanza kabisa mwaka 1961 desemba.

Kama mtu amepata akili miaka ya juzi juzi tu halafu hana tabia ya kuyachimba mambo kwa undani atakachokifanya na kuangalia siasa za sasa na kuishi kuwa na hitimisho jepesi sana.
 
Kinachotia shaka enzi za kikwete kabisa hili lilikua mbele kukosoa lkn Tangu alipoingia mkatoriki du! Kimyaaaaaaaaa totolo.
Hivi nini kimelisibu wajameni?????
Hata wakati wa Kikwete huyu bwana Pengo mambo yake ni haya haya ya kuwakana wenzie!! Wakati wa bunge la katiba alilikana waraka wa baraza la maaskofu Tz. Ni TABIA yake anatumika na Magogoni kutuliza upepo.
 
Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Kwan kukaa na papa ndo nn....papa naye c binadam km wewe ..Nyie ndo wale mnaoweza hata kujidhalilisha utu wenu kisa umaarufu wa MTU.. C bora hata ungesema Ibrahim anaeketi mbimgun kwa Mungu
 
Wewe unalijua Kanisa Katoliki kuliko Kardinali Pengo ambaye anakaa meza moja na Papa? Pengo ana kiti chake Roma kwenye Meza moja na Papa, Pengo anaweza kuongea na Papa kwa Simu, wewe takataka unaweza kumpigia nani Simu hata akapokea?
Kwani Papa Mungu?
Au amehakikishiwa kwenda mbinguni sababu ana namba ya simu ya PAPA?
 
Saint Mery's ni shule za madhebu ya kilokole na siyo shule za kanisa katoliki.
Zipo seminary nyingi za kikatoliki zinaitwa st Mary.. mf ile ya hapo mbalizi mbeya inaitwa st mary mbalizi... kuna moja iko hapo pwani inaitwa st. Mary's pia au maarufu kama Visiga seminary
 
Back
Top Bottom