Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Habari wakuu
Tukiacha hizi tamaduni za utani wa kisoka na kuja kwenye proffesion ya mpira wa Bongo huyu mwamba Hans Pope alikuwa ni mtu na nusu kwenye carrier ya usajili.
Hizi tension za mara Barbra aondoke, mara Matola hatumtaki mara nani...... tatizo ni usajili.
Hans Pope alikuwa ni genius kwenye kufanya scouting.... kwenye hili alitutesa sana Wana YANGA [emoji23][emoji23][emoji23]....kila tukitafuta key players, mwamba anaenda kumuiba. Kwa kweli huyu jamaa alikuwa ni Mafia.
Nb..sijui kwa nini mashabiki wa Simba sio wavumilivu...yaani wao wanajua mpira ni kushinda tu[emoji3][emoji3]
Je! unautambua umuhimu wa huyu mwambaView attachment 2350124
Tukiacha hizi tamaduni za utani wa kisoka na kuja kwenye proffesion ya mpira wa Bongo huyu mwamba Hans Pope alikuwa ni mtu na nusu kwenye carrier ya usajili.
Hizi tension za mara Barbra aondoke, mara Matola hatumtaki mara nani...... tatizo ni usajili.
Hans Pope alikuwa ni genius kwenye kufanya scouting.... kwenye hili alitutesa sana Wana YANGA [emoji23][emoji23][emoji23]....kila tukitafuta key players, mwamba anaenda kumuiba. Kwa kweli huyu jamaa alikuwa ni Mafia.
Nb..sijui kwa nini mashabiki wa Simba sio wavumilivu...yaani wao wanajua mpira ni kushinda tu[emoji3][emoji3]
Je! unautambua umuhimu wa huyu mwambaView attachment 2350124