Pengo la ukuaji wa uchumi kati ya Marekani na Urusi ni kubwa sana

Pengo la ukuaji wa uchumi kati ya Marekani na Urusi ni kubwa sana

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Screenshot_20240704-230947.jpg

USA🇺🇸 anazidi kupaa tu kila mwaka.

Russia hayupo tena top 10.

Putin anapotea Maxima

Kwa hiyo gap, China apambane Sana, alafu ana population kubwa, 1.4 billion, mwenzie familia ndogo.

Labda miaka 200 ijayo, anaweza kuwa status ya USA🇺🇸
 
View attachment 3035091

USA🇺🇸 anazidi kupaa tu kila mwaka.
Russia hayupo tena top 10.
Putin anapotea Maxima

Kwa hiyo gap, China apambane Sana, alafu ana population kubwa, 1.4 billion, mwenzie familia ndogo.

Labda miaka 200 ijayo, anaweza kuwa status ya USA🇺🇸
Umeshasoma kwamba uchumi wa Marekani unaendesha kwa kukopa hadi wameanza kuwa na mashaka? Kukopa kwao kunatishia uchumi wa dunia nzima hadi world bank wameraise alarm kwa sababu kukopa kwao kunaongeza imterest rate kwa dollar
 
Hao hao walittuaminisha Russia hataweza kusavaivu miezi mitatu baada ya kulambwa sanctions ya kufa mtu. Sasahivi tunashangaa wanaolia ndio walioweka sanctions
Kwani amesha savive??🙄😆😆😆😆
 
China apambane Sana
Kati ya 2005 na 2020, GDP ya China ilikua kutoka 2.3 trillion kufikia 14.9 trillion U.S$

Je, uchumi wa Marekani ulikua kwa kiasi gani ndani ya kipindi hicho?

Gap la uchumi kati ya Marekani na China linaenda likipungua kwa kasi sana

GDP growth between 2000 and 2020

🇨🇳 China: 1266%
🇷🇺 Russia: 466%
🇮🇳 India: 440%
🇧🇷 Brazil: 316%
🇸🇦 Saudi: 300%
🇦🇺 Australia: 250%
🇹🇷 Turkey: 250%
🇰🇷 South Korea: 220%
🇿🇦 South Africa: 200%
🇮🇩 Indonesia: 175%
🇨🇦 Canada: 166%
🇺🇸 USA: 108%
🇬🇧 UK: 85%
🇩🇪 Germany: 77%
🇫🇷 France: 68%
🇮🇹 Italy: 63%
🇦🇷 Argentina: 33%
🇯🇵 Japan: 6%

Unafikiri kati ya Marekani na China nani anatakiwa akaze?

Ndio maana Marekani anapambana sana kuipiga vita kiuchumi na kiteknolojia China. Ila tunajionea anavyofeli

Huo moto anaopelekewa sio poa
 

USA🇺🇸 anazidi kupaa tu kila mwaka.

Russia hayupo tena top 10.

Putin anapotea Maxima

Kwa hiyo gap, China apambane Sana, alafu ana population kubwa, 1.4 billion, mwenzie familia ndogo.

Labda miaka 200 ijayo, anaweza kuwa status ya USA🇺🇸
China hana ubavu wa kumpita US, at leat rumi ijayo miaka michache yaan jumuiya ya ulaya maana soon inaenda kuwa na kiongozi mmoja na itakuwa kama nchi moja hiyo ndo labda itaweza kimbizana na US but sio hao macho madogo wazee wa bidhaa feki ambao kwanza financkal crisis inawanyemelea sababu ya real estate industry na banks ambazo zipo kwenye hatari ya kukolapse.
 
Ukiangalia data za GDP ujue unakuja kugundua Tanzania ni tajiri kuliko Croatia, GDP ni uongo!
 
China hana ubavu wa kumpita US
Miaka 10 iliyopita gap la uchumi kati ya Marekani na China lilikuwaje ukilinganisha na sasa?

Linaenda likipungua au linazidi kuongezeka?

China imewezaje kuizidi Marekani kwenye GDP by PPP?
 
Back
Top Bottom