Wangemsifia kubwa jinga wangekua wakweliHao Forbes ni wamarekani? Jomba siku hizi mambo ya uchumi hatuangalii kwenye magazeti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangemsifia kubwa jinga wangekua wakweliHao Forbes ni wamarekani? Jomba siku hizi mambo ya uchumi hatuangalii kwenye magazeti.
Kwa wanaojua kinachoendelea duniani China ashamvuka USA muda sana.Russia ni kubwa jinga kidogo alitisha kipindi cha vita baridi na huyo china ni mpinzani hewa tu mana kazidiwa mambo mengi tu na US haya wavaa kobazi tumie majini basi IRAN imfikie US tu japo kumpita HAIWEZEKANI
Nani kakudanganya!?China hana ubavu wa kumpita US, at leat rumi ijayo miaka michache yaan jumuiya ya ulaya maana soon inaenda kuwa na kiongozi mmoja na itakuwa kama nchi moja hiyo ndo labda itaweza kimbizana na US but sio hao macho madogo wazee wa bidhaa feki ambao kwanza financkal crisis inawanyemelea sababu ya real estate industry na banks ambazo zipo kwenye hatari ya kukolapse.
Akikujibu nitag mkuu.Miaka 10 iliyopita gap la uchumi kati ya Marekani na China lilikuwaje ukilinganisha na sasa?
Linaenda likipungua au linazidi kuongezeka?
China imewezaje kuizidi Marekani kwenye GDP by PPP?