roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Hama nchiPersonal toka afariki JPM , Nchi haina Rais.
Katiba ya ovyo hii, makamu kurithi kitu, yaani Samia hana Baraka zetu wananchi.
Utabiri wa Yahya Hussein, kuwa anafuata ni mpinzani pengine ikatokea,maana mpaka anaondoka huyu Bibi atakuwa kawapa points wapinzani .
Ni mtu Wa ovyo sana Samia kama ndugu zake Mwinyi & JK.
Huna akili...Go https://jamii.app/JFUserGuide yourselfHama nchi
na ndio kosa lake kubwa. kubeba kitu kilichokufa.Yaliyotokea zambia Malawi Nigeria ndio yanatokea tz.
Raisi kufia madarakani then makamu hadi uchaguzi then chama tawala kinaanguka.
Kiasili ccm ilishakufa JP ndio aliibeba tu Leo hayupo
MUNGU akiamua yote yanawezekana. it's just a matter of time!Ndoto ya mchana, wapinzani watachukuaje nchi wakati;
1. Kura haziamui mtu kuwa au kutokuwa Rais
2. Wananchi walio wengi ni wajinga na wanaogopa kuandamana!
Kwa sababu hizi 2,wapinzani kuchukua nchi sahauuuu
Popoma mmoja wewe.Personal toka afariki JPM , Nchi haina Rais.
Katiba ya ovyo hii, makamu kurithi kitu, yaani Samia hana Baraka zetu wananchi.
Utabiri wa Yahya Hussein, kuwa anafuata ni mpinzani pengine ikatokea,maana mpaka anaondoka huyu Bibi atakuwa kawapa points wapinzani .
Ni mtu Wa ovyo sana Samia kama ndugu zake Mwinyi & JK.
Personal toka afariki JPM , Nchi haina Rais.
Katiba ya ovyo hii, makamu kurithi kitu, yaani Samia hana Baraka zetu wananchi.
Utabiri wa Yahya Hussein, kuwa anafuata ni mpinzani pengine ikatokea,maana mpaka anaondoka huyu Bibi atakuwa kawapa points wapinzani .
Ni mtu Wa ovyo sana Samia kama ndugu zake Mwinyi & JK.