Pengo lako ndiyo tunaliona sasa

Pengo lako ndiyo tunaliona sasa

Personal toka afariki JPM , Nchi haina Rais.
Katiba ya ovyo hii, makamu kurithi kitu, yaani Samia hana Baraka zetu wananchi.

Utabiri wa Yahya Hussein, kuwa anafuata ni mpinzani pengine ikatokea,maana mpaka anaondoka huyu Bibi atakuwa kawapa points wapinzani .

Ni mtu Wa ovyo sana Samia kama ndugu zake Mwinyi & JK.
Hama nchi
 
Yaliyotokea zambia Malawi Nigeria ndio yanatokea tz.
Raisi kufia madarakani then makamu hadi uchaguzi then chama tawala kinaanguka.
Kiasili ccm ilishakufa JP ndio aliibeba tu Leo hayupo
na ndio kosa lake kubwa. kubeba kitu kilichokufa.

Yesu ni Njia, Kweli, na Uzima.
 
Ndoto ya mchana, wapinzani watachukuaje nchi wakati;
1. Kura haziamui mtu kuwa au kutokuwa Rais
2. Wananchi walio wengi ni wajinga na wanaogopa kuandamana!

Kwa sababu hizi 2,wapinzani kuchukua nchi sahauuuu
MUNGU akiamua yote yanawezekana. it's just a matter of time!

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Personal toka afariki JPM , Nchi haina Rais.
Katiba ya ovyo hii, makamu kurithi kitu, yaani Samia hana Baraka zetu wananchi.

Utabiri wa Yahya Hussein, kuwa anafuata ni mpinzani pengine ikatokea,maana mpaka anaondoka huyu Bibi atakuwa kawapa points wapinzani .

Ni mtu Wa ovyo sana Samia kama ndugu zake Mwinyi & JK.
Popoma mmoja wewe.
 
Personal toka afariki JPM , Nchi haina Rais.
Katiba ya ovyo hii, makamu kurithi kitu, yaani Samia hana Baraka zetu wananchi.

Utabiri wa Yahya Hussein, kuwa anafuata ni mpinzani pengine ikatokea,maana mpaka anaondoka huyu Bibi atakuwa kawapa points wapinzani .

Ni mtu Wa ovyo sana Samia kama ndugu zake Mwinyi & JK.

Yahya Hussein alitabirije
 
Back
Top Bottom