TaiJike
JF-Expert Member
- Dec 14, 2011
- 1,482
- 668
Vile vitabu ukianza kusoma ni sawa na onyo la dawa " weka mbali na watoto" acha vyote ili usome kwa raha. Ni zaidi ya Penny ingawa nilikuwa mdogo lakini kuna undava, timbwili na figisufigisu ya kufa watu.Hivyo vitabu dhima yake hasa ni nini mkuu? Au ndo Peniela type?