Peniela (Story ya kijasusi)

Hivyo vitabu dhima yake hasa ni nini mkuu? Au ndo Peniela type?
Vile vitabu ukianza kusoma ni sawa na onyo la dawa " weka mbali na watoto" acha vyote ili usome kwa raha. Ni zaidi ya Penny ingawa nilikuwa mdogo lakini kuna undava, timbwili na figisufigisu ya kufa watu.
 
Mmh [emoji134] [emoji134]
 
Mkuu LEGE kwa vile leo wkend unaweza ukamwaga muda wowote ukiwa free then kila mtu atajipimia kutokana na ufree wake.
Jaji elbarik umeanzaeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku leo naona tumeachwa kwenye mataa, wakuu nendeni kula mkasome Before I Die. LEGE amewaletea kitu kipya. Mimi hadi hii iishe ndio nitaanza nyingine
 
Yes,kwa hiyo mkuu LEGE asitusahau baada ya kuanzisha kitu kipya sisi tupo hapahapa jana leo na kesho ..
Sure! hapa mwendo wa kijasusi na kutembezeana mikono vululu[emoji109] [emoji109] [emoji109], ajitahidi kutuletea story za mlengo huu patanoga sana.
 
Huku leo naona tumeachwa kwenye mataa, wakuu nendeni kula mkasome Before I Die. LEGE amewaletea kitu kipya. Mimi hadi hii iishe ndio nitaanza nyingine
Ni ya kijasusi au malavidav kabla sijaenda huko.....vinginevyo nisubiri tu kumaliza hapa ili ninganishwe kuchezea sauti ya gaidi
 
Ni ya kijasusi au malavidav kabla sijaenda huko.....vinginevyo nisubiri tu kumaliza hapa ili ninganishwe kuchezea sauti ya gaidi
Mimi hata sijataka kusoma kujua ni ya nini maana sitaki kuchanganya madesa. We nenda tu LEGE hanaga hiyana.
 
Habari za asubuhi Mkuu LEGE, vipi ratiba ya Leo ni SAA 2:00usiku kama siku za Kazi? Itaingiliana na mpira, kama vipi turushie tushinde nayo. Thank you for your good service Boss.
 
Mkuu Lege,

Fanya hivyo jamaa yangu, siku mbili nitakuwa nimemaliza kila kitu. Hapa Dar nipo mpaka mwezi wa kumj mwishoni... Ulionambia kipo, hapa koo limenikauka mate kwa hamu..!!!

Please mkuu, fanya hivyo Tafadhali

BACK TANGANYIKA
huwezi kukisoma mkimbizi ukakimaliza kwa siku 2 mkuu.

tutafutane nitakuazima ila shaka yangu kukirudishaa.
 
Story ni tamu sana.Imenikumbusha enzi zile tulipokuwa tunasoma riwaya za kipelelezi zenye kusisimua.Enzi hizo kuna watu walijiita majina ya characters kama Willy Gamba,Inspekta Forg,kachelo Haji,Maliki Mbowe,Elungata,Joram Kiango nk.Fasihi andishi ilikubalika sana.
Kwa stori nzuri kama hizi naamini ile hamu ya watanzania kusoma vitabu itarejea.
 
Vile vitabu ukianza kusoma ni sawa na onyo la dawa " weka mbali na watoto" acha vyote ili usome kwa raha. Ni zaidi ya Penny ingawa nilikuwa mdogo lakini kuna undava, timbwili na figisufigisu ya kufa watu.
mm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
 
Habari za asubuhi Mkuu LEGE, vipi ratiba ya Leo ni SAA 2:00usiku kama siku za Kazi? Itaingiliana na mpira, kama vipi turushie tushinde nayo. Thank you for your good service Boss.

BAD NEWZ NA GOOD NEWZ ni kuwa peniel itabidi tusubilie kidogo wakuu tuvute subila kwa sababu 2 au tatu ni kuwa.
tulisema itakuwa mwisho sehem ya 5 lakini imefanyiwa marekebisho na kuongezwa sehem nyingine kwahiyo kutakuwa na sehem ya 5 na sehem ya mwisho.hivyo tuvuteni subila kidogo wakuu.
 
mm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
Mkuu niko mbali na Dar hivyo hata wazo la kuazima sina ila nitafurahi ukinitumia soft copy kwenye inbox yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…