Mpaka mwakani tena nikija dar kama utakuwa nacho.mwisho nimejuta kukisoma maana napenda kujua story imeishia vipimkubwa vitabu vya msiba kama kikosi nitapata hapo?? na kitabu cha unyama wa mafia part 2 cha zahir aly zoro nitakipata hapo mkuu .plz plz kama vipo nitajie bei nikutumie pesa kabisaa mkuu
Poa asante ila si kuna hadithi nyengine tutasoma hiyoBAD NEWZ NA GOOD NEWZ ni kuwa peniel itabidi tusubilie kidogo wakuu tuvute subila kwa sababu 2 au tatu ni kuwa.
tulisema itakuwa mwisho sehem ya 5 lakini imefanyiwa marekebisho na kuongezwa sehem nyingine kwahiyo kutakuwa na sehem ya 5 na sehem ya mwisho.hivyo tuvuteni subila kidogo wakuu.
BAD NEWZ NA GOOD NEWZ ni kuwa peniel itabidi tusubilie kidogo wakuu tuvute subila kwa sababu 2 au tatu ni kuwa.
tulisema itakuwa mwisho sehem ya 5 lakini imefanyiwa marekebisho na kuongezwa sehem nyingine kwahiyo kutakuwa na sehem ya 5 na sehem ya mwisho.hivyo tuvuteni subila kidogo wakuu.
huwezi kukisoma mkimbizi ukakimaliza kwa siku 2 mkuu.
tutafutane nitakuazima ila shaka yangu kukirudishaa.
Hata mm nilianza kusoma Riwaya za ujasusi nikiwa darasa la nne. Kuna kitabu kungine cha Msiba kinaitwa Hofu sioni mkikiongelea.Lege inaonekana wewe ni mdau mkubwa wa Riwaya kama mimi. Kwa kweli siwezi orodhesha idadi ya riwaya nilizosoma. Nimeanza kuvutiwa kusoma kipindi nipo darasa la 3. By then nilikua naona mama akisoma sana riwaya za enzi hizo. Nami nikawa nasubiri amalize ili nisome. Kwa kweli nilikuwa na vutiwa sana. Nilikuwa msomaji mzuri kwa sababu kipindi cha magazeti ya sana nilikuwa nawasomea washkaji class. Watu wamekuzunguka hivyo unasoma kwa sauti wote wasikie. Nilikuwa nina library ya hizi riwaya kibao. Nikisafiri kwa basi pale Ubungo lazima ninunue ndani ya basi naburudika bila kuchoka. Zikaja zile za Shigongo, nilikua nakesha kwa utamu. Jamani riwaya ni tamu sana kama unazikubali. Bora nisiangalie movies lakini nisome riwaya yenye msisimko. Mathalani hii riwaya imenikumbusha enzi hizo riwaya za kipelelezi na ukichukulia hakukua na technologies kama simu na computer lakini kila kitu kilikuwa kitavutia.
BAD NEWZ NA GOOD NEWZ ni kuwa peniel itabidi tusubilie kidogo wakuu tuvute subila kwa sababu 2 au tatu ni kuwa.
tulisema itakuwa mwisho sehem ya 5 lakini imefanyiwa marekebisho na kuongezwa sehem nyingine kwahiyo kutakuwa na sehem ya 5 na sehem ya mwisho.hivyo tuvuteni subila kidogo wakuu.
Hofu cha Msiba ninacho alie mwanza ani inbox nimuazime.
Mkuu, mbona LEGE katoa ufafanuzi tayari? Vuta subira.Mkuu lege shusha mzigo yani nikisoma kauli za Dr Joshua naona kama za mkulu
Hofu cha Msiba ninacho alie mwanza ani inbox nimuazime.
Niko Mwanza mkuu
Ivyo vya msiba boss itabid tuongee vzr maana juz nimesoma UCHU nimeikuta umu JF na uzur ipo mwanzo mwisho jamaa ni nomamm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
Iko api iyo uchuIvyo vya msiba boss itabid tuongee vzr maana juz nimesoma UCHU nimeikuta umu JF na uzur ipo mwanzo mwisho jamaa ni noma
Duh kumbe uko mwanza kuna watu wamenipa kaz ya kuwasajilia trade mark wapo sauth africa kaz iyo inafanyika kwa dollah 2500 niltaka unisaidie kufanya tugawane mpunga ukiingia maana mm cjui vinafanyikaje ingawa najua brela ndo wanasajirHofu cha Msiba ninacho alie mwanza ani inbox nimuazime.