seeker of knowledge
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 225
- 168
Very bad newzBad news
Sh ngapi???unavipata mkuu hata kama upo nje ya mkoa wa dar utavipata unatumiwa 0655428085
Ni naomba unitumie Nami piamkuu kupata vitabu vya msiba ni ishu sana lakini kama unataka story hiyo ya HOFU soft copy unaweza kuipata .nikutumie
Fanya kunitumia hizo soft copy kwa email elishaninja@yahoo.commm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
Katika bad news hii ndio imeongoza .Ngoja niangalie series zangu kupoteza mawazo .baada ya two weeks ndio nitarudi kuchungua humu.Cheers LEGE it was nice meeting you😀😀😀😀😀.see you when you see me.Very bad newz
Allan kwataman na mzee Makumazan ni sheeda. Mzee ye hatumii manati ya kizungu Bali anatumia shoka tuu. Anakimbia sambamba na farasi. Ile story ni balaa.Kikosi cha kisasi ninacho na njama ila vipo Morogoro kwa sasa nilicho nacho karibu ni Hofu. Vitabu vya msiba vingi ninesoma ila vya Joram Kiango nilisom simu ya Kifo nadhani kama kumbukumbu zangu ziko sahihi. Hicho cha Allan niewahi kukisikia ila sijakisoma.
Tuwekee mkimbizi au mdunguaji tukimsubiria Penielanazani baada ya wiki 2 au moja hivi siunajua uandishi ni fani na kuna mambo mengi so ni lazima kunakufanyiwa editing n.k
na huwa inategemea huyo aliyepewa kuisoma na kuisahihisha ana kasi gani ya kuisoma.ila baada ya wiki moja mambo yatakuwa fresh kbs
mkuu ben mtobwa na joram kiango ni mtu mmoja?? ben mtobwa mwandishi joram kiango nimhusika anayependa sana kumtumia ni kama patric na penielaAllan kwataman na mzee Makumazan ni sheeda. Mzee ye hatumii manati ya kizungu Bali anatumia shoka tuu. Anakimbia sambamba na farasi. Ile story ni balaa.
Vya Musiba nimesoma Hofu,Njama,Kikosi cha kisasi,Hujuma na kuna kimoja ila sikikumbuki ni muda mrefu. Sijaona mwandishi wa riwaya za kipelelezi kwa kiswahili anaemfikia Musiba. Ben Mtobwa alijitahidi na Joram kiango lakini Willy Gamba ni kiboko
Ivyo vya msiba boss itabid tuongee vzr maana juz nimesoma UCHU nimeikuta umu JF na uzur ipo mwanzo mwisho jamaa ni noma
Npe link, maana kuipata itakuwa ngum mkuuWALE WA STORY YA DANY MZIGO UMESHUKA MPAKA MWISHO KASOMENI WAKATI TUKIMSUBILIA PENIELA
Ni kweli mkuu. Mtobwa anamtumia Joram kama Musiba anavyomtumia Gamba.mkuu ben mtobwa na joram kiango ni mtu mmoja?? ben mtobwa mwandishi joram kiango nimhusika anayependa sana kumtumia ni kama patric na peniela