haina shida mkuu nitajitahidi
How long?BAD NEWZ NA GOOD NEWZ ni kuwa peniel itabidi tusubilie kidogo wakuu tuvute subila kwa sababu 2 au tatu ni kuwa.
tulisema itakuwa mwisho sehem ya 5 lakini imefanyiwa marekebisho na kuongezwa sehem nyingine kwahiyo kutakuwa na sehem ya 5 na sehem ya mwisho.hivyo tuvuteni subila kidogo wakuu.
Umepewa No piga uulize bei huko maswali mengine ni magumu kujibiwa hapaSh ngapi???
kulikuwa kuna page ya kusoma lkn naona washa isitisha na hata hivyo kule online walikuwa hawajaiweka yote kama ilivyokamilika kwenye kitabu hivyo fanya mpango upate tuu kitabu mkuu
Kali sanaNimeona UCHU ya msiba vipi wadau ni kali ili nikakomae nayo au?
Nimeona UCHU ya msiba vipi wadau ni kali ili nikakomae nayo au?
Ahsante sana Ndungu, ngoja nivitafute sikuwahi visoma, ila huyu jamaa niliona tu watu wanamsifia ila sikufatilia, hizo nondo zitakua za hatari sanaNi vitabu bora kabisa vya kijasusi kuwahi kutokea nchini,kama umewahi kumsikia WILLY GAMBA, huyo ndiye mhusika mkuu
Mkuu bora wewe brain tu mimi body yote imecollapse kwisha habari.I need something to cool down.Naomba mwenye kali ya kimafia.kiterrorist au kijasusi atumwagie kabla munkari haujaisha wakuu.Daahh mpaka nahisi kuumwa brain disorder kabisa
Hahahaha, Damian yule kazidi.Peniela anapenda ngono Kama Scott kwenye strike back na Ina msaidia kipata details muhim na connection
Naomba location mkuu, wapi saivi naweza pata nakala zake?Vile vitabu ukianza kusoma ni sawa na onyo la dawa " weka mbali na watoto" acha vyote ili usome kwa raha. Ni zaidi ya Penny ingawa nilikuwa mdogo lakini kuna undava, timbwili na figisufigisu ya kufa watu.
Mkuu LEGE, naomba Hata hizo soft copy kama inawezekana.mm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
Simu ya kifo nnacho mkuuDar es salaam Usiku kinapatikana?
Na vipi kuhisi Simu ya Kifo?
Mkuu kitafute ukisome hutojuta. Shigongo nakumbuka alitoa vitatu 3 ambavyo awali alianza kuchapisha kwenye magazeti. Vyote ni vizuri sana isee. Sijui kwa nini siku hizi hajatoa vitabu vingine.Watu na riwaya zao nasikia kitabu cha Rais anampenda mke wangu mtunzi erick shigongo ni kizur sana mwenye nacho tafadhar