vya joram kiango mwanae tupo naye hapa na ndio anaye lisukuma gurudum na kavaa viatu vya baba yake ben mtobwa anaitwa nameless girl au kama unataka mawasiliano ya muuzaji wa hivyo vitabu ni 0655428085 utapata vya joram kiango na mzee beka na japhet nae yupo vizuri lkn vya willy gamba ni ishu kidogoMwenye mawasiliano YA kuvipta vitabu(hard copy) au soft YA Hadith za kijasusi km za kina Willy Gamba, joram kiango;mdunguaji na zinginezo aweke Humu Maana wengine sio washabiki wa love story
Umsilopogaas amedokezewa kidogo kwenye Mashimo ya SulemaniPia mtunzi wa kitabu hiki ametunga pia 'Safari ya Alan-Qutaman na Wenzake ' ambapo mhusika maarufu Ni 'Umsilopogaas ' aliekua na shoka lake 'Inkoskazi'
Dah! Joram Kiango,jamaa ana akili sana ,hajawahi shindwa mission! Inabidi tuwapambanishe na Matthewvya joram kiango mwanae tupo naye hapa na ndio anaye lisukuma gurudum na kavaa viatu vya baba yake ben mtobwa anaitwa nameless girl au kama unataka mawasiliano ya muuzaji wa hivyo vitabu ni 0655428085 utapata vya joram kiango na mzee beka na japhet nae yupo vizuri lkn vya willy gamba ni ishu kidogo
mbona hapa jf zipo story kibao za willy gamba?? labda kama sio wafuatiliaji sana ngoja nizikusanye zote harafu tuziweke kwenye uzi mmoja iwe rahisi
kama umesoma story za joram kiango na willy gamba utagundua kuwa ben mtobwa aliiga uandishi na aina ya wahusika wakuu kwa willy gamba na ukija ukisoma vitabu vya japhet nyang'oro pia utagundua kuwa kaiga uandishi kwa ben mtobwa pia wahusika wakuu. wote watatu wana wahusika watatu ambao hawabadiliki na uhusika wao wa matendo unafanana. mhusika mkuu musiba utampata willy gamba,kwa ben mtobwa utampata joram kiango na kwa japhet utampata jacob matata. na kila mmoja kuna mwanamke na inspekta wa polisi ambaye habadiliki piaDah! Joram Kiango,jamaa ana akili sana ,hajawahi shindwa mission! Inabidi tuwapambanishe na Matthew
Thank u mkuu ..unacho hiki kitabu?Inaitwa Usiku wa balaa.
Swadakta mkuu...story nzuri sana ile pia...una hiyo kitu ya Kufa na Kupona?Kinaitwa 'Mashimo ya mfalme suleiman ' mhusika Maarufu Ni Alan-Quataman
mbona hapa jf zipo story kibao za willy gamba?? labda kama sio wafuatiliaji sana ngoja nizikusanye zote harafu tuziweke kwenye uzi mmoja iwe rahisi
Leo vijana wa jangwani hawatakuangusha.!Jana mimi England kulikuwa kuzuri nasubiri jangwani leo.
Tayari wapiga makelele yamefanya yao hapa naugulia maumivuLeo vijana wa jangwani hawatakuangusha.!
Sidhani kama umslopogaaz ametajwa katika mashimo ya Mfalme Suleiman sababu mashimo yalianza kabla ya safari ya Allan quartermein na wenzie ila umbopa ndio katajwa katika safari ya Allan quartermein na wenzie.Umsilopogaas amedokezewa kidogo kwenye Mashimo ya Sulemani
Sidhani kama umslopogaaz ametajwa katika mashimo ya Mfalme Suleiman sababu mashimo yalianza kabla ya safari ya Allan quartermein na wenzie ila umbopa ndio katajwa katika safari ya Allan quartermein na wenzie.
Shukran pamoja sana ndugu yangu.Uko SAHIHI Kiongozi , Wewe Ni Mwenzangu Kabisa .
Kwenye mashimo ya mfalme Suleiman kuna mtu anaitwa Umbopa. Huyu jamaa ndiye aliyevuka maji ya shingo bila ya Pu,mbu kulowa. Watu huwa wanamkosea na kumchanganya na Umsolopagaazi Mwana wa Makumazani, akeshaye usiku asiyepitwa na jambo.Sidhani kama umslopogaaz ametajwa katika mashimo ya Mfalme Suleiman sababu mashimo yalianza kabla ya safari ya Allan quartermein na wenzie ila umbopa ndio katajwa katika safari ya Allan quartermein na wenzie.
Itakuwa poa sana Lege.mbona hapa jf zipo story kibao za willy gamba?? labda kama sio wafuatiliaji sana ngoja nizikusanye zote harafu tuziweke kwenye uzi mmoja iwe rahisi