Peniela (Story ya kijasusi)

hahaha nisha toa taarifa mkuu kuwa baada ya kama 2 weeks mambo yatakuwa mswano.ww tulia vuta subila
 
Kwenye msshimo ya mfalme Suleiman kuna mtu anaitwa Umbopa. Huyu jamaa ndiye aliyevuka maji ya shingo bila ya Pu,mbu kulowa. Watu huwa wanamkosea na kumchanganya na Umsolopagaazi Mwana wa Makumazani, akeshaye usiku asiyepitwa na jambo.
Kuvuka maji ya shingo bila kende kuloa wananogesha hadithi tu ila kiuhalisia haiwezekani na akeshae hodari mwepesi huyo ni makumazahn ndio maana ya hilo neno (makumazahn )
 
Lugha ya picha
 
Kibox Paniela alikificha kule Makazi Mapya aliko pewa na Hon Rais
Ila zile nyaraka Ndo Basi tena

Kuanzia Sasa sito muamini Mtu humu Tofauti na Mathew Jaji alichofanya Sina ham kabisa
Copy zipo kwa rafiki yake mu Israel,alietoa tafsiri ya yale maandishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…