mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,475
LEGE mi niko na Latoya kwenye BEFORE I DIE, so kama ukiendelea huku tutaarifu kule maana najua wengi tupo kule
Before I dieWapi huko nipelekeni Janani
Kuna Mahali ametajwa kidogo ( au ilifasiliwa ) na MakkumazahinSidhani kama umslopogaaz ametajwa katika mashimo ya Mfalme Suleiman sababu mashimo yalianza kabla ya safari ya Allan quartermein na wenzie ila umbopa ndio katajwa katika safari ya Allan quartermein na wenzie.
hahahahahaha mtugani wa wapi huyo
"U KNOW HOW MUCH WE MISS U"
Miaka michache uliopita tulisafiri na mtu kama wewe akiitwa umbopa tazama tulivyoachana nae alikuwa ni mfalme mwenye jeshi lenye vikosi ishirini na kila kikosi kina askari elfu tatu wanasubiri kuzitimiza amri zake.Kuna Mahali ametajwa kidogo ( au ilifasiliwa ) na Makkumazahin
Unadhani hata nafahamu. Mi nasubiri tu. Maana nimelambishwa asali sasa nataka tena na tena. Ndio maana huwa napenda nikikamaye kitabu kilichokamilika maana nikianza break ukurusa wa mwisho.Hizo week mbili zinaisha lini?
Bahati mbaya hiki nishakisoma miaka mingi. Kipi kingine unacho mpendwa?Ukitaka kupata riwaya ya Mkimbizi tembelea www.riwaya.co.tz
Utalipia 5,000 kwa mpesa/tigopesa kukipata online
Haya ushamtumia hela ya shukrani kama wenzio wote washatoa elfu 10 kila mtu aliyesoma haya tuma kwa lege fasta mpm akupe namna ya kumtumiaHatimaye nimemaliza hapa ilipofika. Nami nipo katika foleni ya kusubiri muendelezo.
Hahahaah sawaHaya ushamtumia hela ya shukrani kama wenzio wote washatoa elfu 10 kila mtu aliyesoma haya tuma kwa lege fasta mpm akupe namna ya kumtumia
Unauza?? If yes then bei gani??mdunguaji na utata umevisoma
Mkuu Lege mbona hunisaidii ule mzigo kaka[emoji4] [emoji4] [emoji4]mdunguaji na utata umevisoma
Mkuu kule vepe kwa latoya na innocent leo au keshomdunguaji na utata umevisoma
Kiongozi nasubir iyo soft copy ya Hofu wiki sasa bromdunguaji na utata umevisoma