Peniela (Story ya kijasusi)

thanx sana mkuu coz watu walisha anza kuongea mengii wakifikiri kuwa mm nawaongopea. but jamaa anatoa kitabu so kama ww nimsomi wa story huto sita kununua .
So haitaendelea humu?? Mana wengine hatupo dsm
 
Naunga mkono hoja!, haiwezekani utamu Kama huu uupate kwa bando la Chuo Na kuwaneemesha wenye makampuni ya simu, halafu mwenzetu aishie kupata sifa Tu, wakati mkate wa siagi wanakula wengine kupitia kazi yake!.

Nadhani kama mtunzi anataka mkwanja angetujulisha tu tungenunua Kazi yake bila shida Kabisa ...!
 
Nadhani kama mtunzi anataka mkwanja angetujulisha tu tungenunua Kazi yake bila shida Kabisa ...!
Ya ni bora atuambie ili tujue jinsi gani ya kimchangia maana imeteka watu wengi sana hivyo hata kikusanya buku buku atapata mzigo wa kutoshaa
 
Hatimaye Na Mimi nasubiri kwenye foleni, nilijiona mjanja kuchelewa kuanza kumbe mbele kulikuwa Na likizo ya wiki mbili! Aaaaaghhh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…