Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Mm c mtu wa riwaya sana ,Mara nyingi napendelea move sana but hii ya PENIELA imenikaa na haitabiliki itakuwaje plz pz plz LEGE tupe vitu jamani .....naumia kweli natamani nifike mwisho nijue maana imeniacha na maswali mengi yasiyo na majibu
 
Najuta kujiingiza kwenye foleni ya kusubiri huduma ya Peniela kama dr jushua.
Hii story naifananisha na ile ya KISASI jinsi Anitha anavocheza na mtandao.
 
Najuta kujiingiza kwenye foleni ya kusubiri huduma ya Peniela kama dr jushua.
Hii story naifananisha na ile ya KISASI jinsi Anitha anavocheza na mtandao.
Hiyo story ya kisasi iko wapi walau nijitoe gundu wkt tumepigwa awaiting na lege
 
Hiyo story ya kisasi iko wapi walau nijitoe gundu wkt tumepigwa awaiting na lege
Ipo humu imesha wekwa yote sijajua tu namna ya kukuwekea hiyo link hapa
lakini itafute tu utaipata humu ililetwa na mkuu WILLY GAMBA 1.
 
Ipo humu imesha wekwa yote sijajua tu namna ya kukuwekea hiyo link hapa
lakini itafute tu utaipata humu ililetwa na mkuu WILLY GAMBA 1.
Sema kweli? Mimi nahitaji Hiyo kisasi. Humu IPO UCHU na HOFU sijaona KISASI humu. Copy Hiyo link na kuiweka hapa.
 
Sema kweli? Mimi nahitaji Hiyo kisasi. Humu IPO UCHU na HOFU sijaona KISASI humu. Copy Hiyo link na kuiweka hapa.
Mkuu hiyo Kisasi ninayo sema sio ile kikosi cha kisasi ya Musiba.
hii ni tofauti ipo humu ililetwa humu na member mwenzetu Willy Gamba 1 ukitafuta utaipata tu kama hujaiona fungua page inayofata katika hiyo searching yako.
 
Wakuu nisaidien kupata kitabu kinaitwa mnuko wa damu sehem ya 1&2 nlikisoma kitabu hicho kama sikosei mwaka 1990s

Ikiwa kunamdau anacho plz nisaidieni, wakati tunaendelea kumsubr penny...
 
Nimewakimbiza mpaka nimewakamata ngoja sasa nisubiri muendelezo
 
Back
Top Bottom