Peniela (Story ya kijasusi)

Yani niko busyyyyyyy,ni kama naangalia series nizipendazo za Kikorea.
Ni noma aiseee.
Ngoja nijikite,nikimaliza nitakupa mrejesho.
Thanks
In zaidi ya series za kikorea.
Natamani ingekuwa marekani apewe Jack Bauer acheze kama kinara wa film hiyo
 
Mkuu lege naomba kama unaweza nitumie hii hadithi whatsapp.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uyu Jamaa Alishaanza Kueka Siasa Kwenye Hadithi Yetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji113]
 
Daaaaaah!! Bonge ya story!! Edmund na Chin sun wamenikumbusha movie ya Mr and Mrs Smith!! Wacha ninyemelee WIMBO WA GAIDI sasa.
 
Nimemaliza season 3 usiku saa7 nikajilazimisha kulala japo nimepata shida ya mawazo kama vile naishi mtaa mmoja na elibariki.ameniboa sana. Nawaza mbele hatima ya mathew..anitha... sina hamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…