Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Yani niko busyyyyyyy,ni kama naangalia series nizipendazo za Kikorea.
Ni noma aiseee.
Ngoja nijikite,nikimaliza nitakupa mrejesho.
Thanks
In zaidi ya series za kikorea.
Natamani ingekuwa marekani apewe Jack Bauer acheze kama kinara wa film hiyo
 
Mkuu hadithi ni masilimulizi, au tuchukulie mfano mdogo wa muziki, kile wanachoimba sio kwamba wako hivyo. Mtu anaimba hajala siku 3, lakini hapo anasema kwa jinsi nilivyoshiba hata kucheza siwezi. Kwa wale waelewa wa hadithi, hii ni aina ya hadithi ambazo husoma huku nikitengeneza movie kichwani kwangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Uyu Jamaa Alishaanza Kueka Siasa Kwenye Hadithi Yetu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji113]
 
1477892605837.png
Binti yake Dr Kigomba
 
Daaaaaah!! Bonge ya story!! Edmund na Chin sun wamenikumbusha movie ya Mr and Mrs Smith!! Wacha ninyemelee WIMBO WA GAIDI sasa.
 
Nimemaliza season 3 usiku saa7 nikajilazimisha kulala japo nimepata shida ya mawazo kama vile naishi mtaa mmoja na elibariki.ameniboa sana. Nawaza mbele hatima ya mathew..anitha... sina hamu
 
Back
Top Bottom