Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi hayati NOAH [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbuka miye Matthew ujuee
huyu ni sabina aseee[emoji2] haya bhanaa naona umeshatengeneza image ya Penuela akilini mwako...
Angalia isije ikawa tofauti, alafu Peniela akawa huyu[emoji116] View attachment 400823
yule mkimbizi alikuwa anaitwa tiga mumba... hadithi kali sana ile aiseeeeee cjawahi ona kitabu chake... hawa watu hawatungi vitaaaabuuuuuu!Kuna hadithi yake inaitwa mkimbizi ile story sikuwahi kuimaliza ni nzuri mno
kaka tutafutane utanifaa... 0655/0763 195 359.....hy ya voda iko wtsp.... face book.. bollo yeungmkimbizi mm ninacho kitabu chake nimeisoma mwanzo mwisho .kuna nyingine mtafiti,mtuhumiwa,mdunguaji,utata, na now ya kijasusi ni wimbo wa gaidi ushawahi zisoma hizo
yaani weeewe! [emoji23]Penny Silaha yake ni papuchi.watashinda tu
mbumbuuuuuuuyu peniela sijui anampa nini Dr Joshua si kwa kumchanganya uko LEGE shukrani sana
Ipo tafuta before I die na miss TanzaniaHivi kuna stori nyingine nzuri kama hii humu??
Ok asanteIpo tafuta before I die na miss Tanzania
Na Mimi naomba utanistuaOK ntakustua
Nawe pia naomba initag
Poa mkuu pamojaNa Mimi naomba utanistua