Peniela (Story ya kijasusi)

Uyu mwanamke ni shetani anawachanganya wote
 
Kama naliona vile hilo sako la jaji elibariki[emoji1]operesheni sogeza cha mtoto
 
Sipati picha Mathew atakapogundua John Mwaulaya yupo kwenye mission yake
 
Kwani nani ndio stelingi wa hii story ?

Naona Mathew anataka kumzidi steringi Elibariki Ila ipo poa sana hongera nasa LEGE

JE Una STORY NYINGINE VITABU UNAUZA ?

?vipi hukusu hati miliki ya hii story kama wewe ndio mtunzi pamoja na kutuburudisha ila na wewe upate asali ili tuendeleaa kupata story nzuri kipaji unacho
 

Kutoa ni Moyo Bro
 
We jamaa ushaaribu utasikia lege anastisha uduma akieleza vitabu vinapopatikana
 
We jamaa ushaaribu utasikia lege anastisha uduma akieleza vitabu vinapopatikana
Ningekuwa mimi ni Lege nikifika karibu mwisho,ningewaacha hewani na kuwaelekeza kununua kitabu nitakacho kichapa[emoji12]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…