Peniela (Story ya kijasusi)

Mtunzi wa hii Riwaya naomba afanye marekebisho ya majina,huyo Dr Joshuwa aitwe John Patrick Mwaulaya af huyo Rais ana sifa zote za kuitwa John
 
Hatimaye nimemaliza stori hii
 
Kila napoisoma hii riwaya, na imagine wakili msomi Kibatala, yaani haichoshi kuisoma.
 
Lege ni imara kama mathew.. Atakuja na mshindo wa hatari..

Kuna comment moja hivi nilishakutana nayo inasema kuwa huyu mkuu LEGE hatunaye tena.

Sijapata uhakika 100% lakini nilijikuta nalia tu
 
Thad ..halafu upite hapa ..hii sasa ndio mwisho wa hadithi zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…