Ndo maana sio wewe,Mungu kakunyima akijua ww mchoyo[emoji3] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]Ningekuwa mimi ni Lege nikifika karibu mwisho,ningewaacha hewani na kuwaelekeza kununua kitabu nitakacho kichapa[emoji12]
John anaenda kupona picha ianze upyaJohn mwenyewe anamuogopa Mathew.
Hawez kupona nchi ishaanza kubinukaJohn anaenda kupona picha ianze upya
Mkuu LEGE tafadhali sana rusha cha kulaliaπππ
Wewe lala sisi hatulali mpaka kielewekeUsisubutu kurusha nyingine usiku huu, nataka nilale , kwanza sitaisoma
Fyuuuuuuuhhh
Duu usije ukaota wewe starring tuAre you there?hallowww LEGE
Nahisi mimi ni Mathew....ila sijui kwannini hana demu,na John Maulanga pia hana demu....hawa wanaishije.Dah nisingewezaDuu usije ukaota wewe starring tu