Hahahaaa umejuaje na mm ni mhabesh...Wanapatikana Ethiopia kwa wingi kwa bongo wasiliana na Ilu
Mkuu i think we need find one😉😉😉😉Wanapatikana Ethiopia kwa wingi kwa bongo wasiliana na Ilu
Ilu please....😉 do the needfulHahahaaa umejuaje na mm ni mhabesh...
Natamani ningekua ww unayeanza wekend yangu ingekua poangoja na mimi nianzi kuisoma kuanzia mwanzo
Hiyo sio nyumba ya profesa jay?Nyumbani kwa methew
Nikajua kina josh washakuficha....hivi tulikuwa tunatafuta mwasiliano na kina mathew tujuw tutakupataje....???poleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
hapo ndio unazidi kufanya nihisi hii ni stori nzuri sana, hapa nime subscribe kwanza huu uzi ili nisiupotee...Natamani ningekua ww unayeanza wekend yangu ingekua poa
Mbona ww pia ulikua haujalalaHujalala ww loooh