Peniela (Story ya kijasusi)

ngoja na mimi nianzi kuisoma kuanzia mwanzo
 
Lege uko wap aisee leta mzigo walau nisome mpaka mda wa mechi ya azam na simba
 
Mimi niambie kitabu kinapatikana wapi nisome mwanzo mwisho tukuunge mkono.
 
LEGE embu fanya mambo mapema si unajua weeknd Epl na Vpl zinatusubiri mkuu
 
LEGE kaka mkubwa sogea pande hizi uteme madini

Brgds,
John Mwaulaya Albert
 
Paniela kiboko kwa matumizi ya maungo yake... ukiingia hutoki...ila akijaribu kuleta habari zake za mapenzi kwa mathew walahi..KAFAAAA.......
 
Lege katekwa na kina josh....mr. anasmamia show mwenyewe....
 
poleni sana wakuu nilikuwa nashida kidogo na halotel jana wakanikatili kwenye network basi ikawa kimyaa.tunaliendeleza week end hii hakuna kutoka home wala kuchepuka. ni mwendo wa peniele tuu
Nikajua kina josh washakuficha....hivi tulikuwa tunatafuta mwasiliano na kina mathew tujuw tutakupataje....???
 
Natamani ningekua ww unayeanza wekend yangu ingekua poa
hapo ndio unazidi kufanya nihisi hii ni stori nzuri sana, hapa nime subscribe kwanza huu uzi ili nisiupotee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…