Haaa haaa.Danny mpaka mate akikwama anasaidiwa na jini.Nimemmisi Danny mzee wa kupaka mate ππππ
Hahahaaaa, kazi kweli kweli! Siku zote ubora wa hadithi unatokana na ukomavu wa mtunzi! Yule jamaa anajitahidi lakini anatakiwa ayatumie sana maoni ya wadau humu ili atoe vitu bora! Danny analazimishwa kuonekana mtu mwenye uwezo mkubwa lakini mtunzi ameshindwa kumpa uwezo huo! Pia Fiction zimezidi mno hadi imeanza kuboa!Haaa haaa.Danny mpaka mate akikwama anasaidiwa na jini.
Mathew anazingatia miiko ya kazi yake, na ndiyo maana anaifanya kwa ufanisi.Labda hapigi
Mathew anazingatia miiko ya kazi yake, na ndiyo maana anaifanya kwa ufanisi.
Mambo gani sasa unatujazia thread na mapicha picha yako mkuu? Tafuta uzi wako ufungue.Screen la akina john