Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Mathew namfananisha na Willy Gamba wa Elvis Musiba kwa wale wakongwe wenzangu.
Mathew ni Jack bour wa 24hrs ....ushawahi kumuona Jackbour akimfamfanyia mtu interrogstion?nomaaa jamaa mpaka anakuwa kama amevuta ile sigara kubwa
 
Mathew ni Jack bour wa 24hrs ....ushawahi kumuona Jackbour akimfamfanyia mtu interrogstion?nomaaa jamaa mpaka anakuwa kama amevuta ile sigara kubwa

Ni kweli mkuu Jack akiamua kitu mpaka akitekeleze hatojali anavunja sheria au anakiuka maagizo ya wakubwa wake. Jack Bour zee la mishe.
 
LEGE ni wakati mwafaka wa wewe kumwaga mzigo wa nguvu maana hii ni wkend
 
Wakuu tumpe nafasi LEGE kwani yawezekana majukumu ya mkate wa siku yamembana, atakuja tu kutukonga nyoyo.
 
Mkuu LEGE Rusha alafu uendelee na majukumu ...kazi haziishii.umejitolea kwa hili basi likamilishe mkuu mimi kichwa kinauma kwa kusubiri😕😕😕
 
Kamkubwa LEGE tunakuomba usogee hapa. Sikia maombi ya wadau
 
Back
Top Bottom