Peniela (Story ya kijasusi)

Mkuu LEGE usibane sana kwa sababu hii story bado ni ndefu na hii ni wkend ukiweka weka mzigo wa maana ili watu wasome waridhike mpaka ukiweka tena.jipange kwa siku weka visehemu 10.
 
Mkuu LEGE usibane sana kwa sababu hii story bado ni ndefu na hii ni wkend ukiweka weka mzigo wa maana ili watu wasome waridhike mpaka ukiweka tena.jipange kwa siku weka visehemu 10.
iyo nzur mkuu atuwekee mzigo maana nimtam San
 
LEGE tunategemea story hii ikiisha umeshatayatisha nyingine ya kijasusi kwahiyo wewe utakuwa hapa JF ni kama wale watunzi wa manovel kama yale ya DAY OF THE JACKAL.si unaipata ile movie mkuu?
 
KMkuu LEGE avoid kumwaga kidogo kidogo kwa suku weka mzigo wa maana umeshatulambisha asali ona sasa tunataka kuingia........
 
Kama Penny atamsamehe John Mwaulaya lakin si Mathew ambaye familia yake iliangamizwa na huyo huyo John Mwaulaya hakuna msamaha hapo
 
Nimekupata uzuri kuna vitu vidogo vidogo vya kuzingatia ndio maana tunakuwa na nafasi ya kutoa maoni yetu kama hivi big up sana kwa kuliona hili ni changamoto kwa mtunzi ili asifanye makosa kama haya akiacha hayo amejitahidi kuteka hisia zetu sasa sijui kama ataweza kupika kitu kingine kikali kama hiki au ndio kafika kileleni!
Naimani nae sana hasa kwa hadithi hii atafika mbali.
 
This story is super
 
Kama Penny atamsamehe John Mwaulaya lakin si Mathew ambaye familia yake iliangamizwa na huyo huyo John Mwaulaya hakuna msamaha hapo
Am sure hata Mathew ameshamsamehe John kwa sababu alimuita kabla hajafa akamkabidhi kazi nafikiri walimaliza tofauti zao na John alitubu kwa Mungu kabla hajafariki.Mathew anaonekana hana chuki tena na marehemu.
 
Peniela sijui kaeka nini kwenye papuchi ake...... ukiingia hutoki...
Kina kachelo aliwahi kusema.."mwanake ni mtendaji mzuri sana ktk kufanimisha ktk upelelezi tofauti na wanaume,kwa sababu ya kuweza kuchanganya UKATIRI NA HURUMA kwa wakati mmoja".....nimemuelewa sasa kupitia penny......
 
LEGE usibane sana mkuu maana hata mama akimnyonyesha mtoto ziwa anahakikisha kameshiba ndio anakaweka pembeni na usingizi kanapata.kanalala muda mreeefu kakiamka mama ameshafanya kazizake nyingi anakapa dozi tena....mkuu LEGE sisi ni kama wanao tupe nyonyo ya kutosha uone kama tutashtukashtuka.
 
Mmh! We mambo naona hii storry imekukolea sana...
Maana siyo kwa uchizi huu?
Naona mahaba yako kwa hii storry yako nje nje..

Embu endelea kumuita LEGE maana anakusikia ww tu
 
jaman tafadhali sijaona muendelezo apa kuanzia thread ya kumi na moja aisee
 
haina shida najitahidi kadri ya uwezo wangu kufidia na mkwazo nilio wakwaza mchana kwa kuwabania uhondo.

lkn naamini speed yangu sio mbaya sana wakuu sema ndio hivyo kwa kuwa story tamu na nzuri ndio maana ikiisha watamani utumiwe ujue mwishowake.
Ni kweli mkuu speed yako inaridhisha shukrani sana
 
Ww miaka iyo ukuwa na simu wala kujua kama ipo kutokana na umasikin wako team SC 41 na pia viongoz wakubwa serkalin kama alivyokua baba yake peniela cm haikua tatizo walikua nazo za kutosha pia ww unaiona iyo laki mbili nyingi tatizo ni lile la umeskin wanajeshi wakubwa walikua na ela za kutosha kama uyo aliyemlea john
 
Ungeweza kumueleza vzr kuwa simu zilikuwepo zamani bila kumuambia yeye masikini. Neno.. "umasikini wako" hapo limetumika viabaya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…