Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Napiga msuli bila shida naelewa kila kitu ,,,na shule ingekuwa hivi ahaha
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.

ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
 
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.

ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Itapendeza sana ukifanya hivyo
 
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.

ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo

Ikiisha unganisha mkuu.
 
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.

ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Itapendeza sana Mkuu hii wiki umenishughulisha na Penny....akiisha toka bandika huo Wimbo wa Gaidi watu tule Sebene la ukweli.
 
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.

ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Bravo,ila mtunzi ananufaika vipi?
 
Niliona kama eva alifall in love kwa mathew bada ya kumuuliza maswali kuhusu anitha nikajua badae watakuja kuoana tena wamekuja kukorofishana yaan unavyofkilia inakuja tofauti
 
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.

ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Fanyaaaaa hivyooo mzee nazipenda sana story za kijasusi asanteeee JF na All Members
 
Niliona kama eva alifall in love kwa mathew bada ya kumuuliza maswali kuhusu anitha nikajua badae watakuja kuoana tena wamekuja kukorofishana yaan unavyofkilia inakuja tofauti
 
kamamwenyewe aliamua kuisa
Bravo,ila mtunzi ananufaika vipi?
mbaza kwenye fb na kundi lake la watsapp sio mbaya na sie hapa jf tukiburudika na soon anatoa kitabuu baada ya ushauri sana wa wadau juu ya kitabu
 
kamamwenyewe aliamua kuisa

mbaza kwenye fb na kundi lake la watsapp sio mbaya na sie hapa jf tukiburudika na soon anatoa kitabuu baada ya ushauri sana wa wadau juu ya kitabu
Hakuna mbaya kwakweli ukiisambaza na uku jf wengine fb hatupo
 
Nimejaribu kuanisha hayo kwa sababu ya umakini alioitumia mwandishi. Nimejaribu kumkumbusha namna ya kutumia mazingira na nyakati.
Mrejesho ni kitu muhimu sana kwa ajili ya maboresho.
Majua hadithi hii imevuta hisia za wengi, yote ni kwa sababu ya mirejeshi amnayo Mtunzi aliwahi kupewa kwenye hadithi zake za mwanzo ambapo akaja kufanya maboresho ambayo yamemuimarisha yeye na kazi zake kiasi cha kuvuta hisia za wengi.
Kama tutasoma bila ya kutoa mirejeshi tutakua hatutendi haki. Msanii anahitaji kukua na ili akue no lazima tishiriki katika kumkuza, kimawazo, kihali na kiuchumi.

Yote uliosema ni kweli, ili akue inabidi asaidiwe, lakini kwa sasa nafikiri ungeondoa neno "kiuchumi" linaweza leta shida"
 
LEGE kama umemaliza ni vema ungekuwa unatujulisha ili mambo mengine yaendelee, vp utashusha mzigo tuendelee kusubiria legeza!
 
Back
Top Bottom