Maombi yanasaidia sana sio kama kweliMkuu hii ndio inaitwa shetani akizeeka anakuwa malaika. Kama kweli maombi yanasaidia basi John Mwaulaya kapenya kiulaini
Salama LEGE shusha vituMKUU USIONDOKE NIMEFIKA nilikuwa zoezi kidogo .salama wakuu za j2 na week end??
nategeme week end ya leo itakuwa na kupofoa macho.
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.Napiga msuli bila shida naelewa kila kitu ,,,na shule ingekuwa hivi ahaha
Itapendeza sana ukifanya hivyohahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
My Shuniee umenisusaaaaSalama LEGE shusha vitu
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Itapendeza sana Mkuu hii wiki umenishughulisha na Penny....akiisha toka bandika huo Wimbo wa Gaidi watu tule Sebene la ukweli.hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Bravo,ila mtunzi ananufaika vipi?hahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Sijakususa nilikua busy na story vp mzima lknMy Shuniee umenisusaaaa
Fanyaaaaa hivyooo mzee nazipenda sana story za kijasusi asanteeee JF na All Membershahaha mkuu kwa jins watu walivyokuwa busy JF wakipigana vikuombo na story ya peniele hatari tupu.
ipo story nyingine ya kijasusi ya mwandishi nguri wa story za taharuki HUSSEN TUWA inaitwa WIMBO WA GAIDI itabidi ikiisha hii tufanye mpango tuibwage hapa nayo
Hakuna mbaya kwakweli ukiisambaza na uku jf wengine fb hatupokamamwenyewe aliamua kuisa
mbaza kwenye fb na kundi lake la watsapp sio mbaya na sie hapa jf tukiburudika na soon anatoa kitabuu baada ya ushauri sana wa wadau juu ya kitabu
Nimejaribu kuanisha hayo kwa sababu ya umakini alioitumia mwandishi. Nimejaribu kumkumbusha namna ya kutumia mazingira na nyakati.
Mrejesho ni kitu muhimu sana kwa ajili ya maboresho.
Majua hadithi hii imevuta hisia za wengi, yote ni kwa sababu ya mirejeshi amnayo Mtunzi aliwahi kupewa kwenye hadithi zake za mwanzo ambapo akaja kufanya maboresho ambayo yamemuimarisha yeye na kazi zake kiasi cha kuvuta hisia za wengi.
Kama tutasoma bila ya kutoa mirejeshi tutakua hatutendi haki. Msanii anahitaji kukua na ili akue no lazima tishiriki katika kumkuza, kimawazo, kihali na kiuchumi.