Siku hiyo itakuwa patashikaaaaaHalafu lijamaa naona litamtafuna Peniela kilaini, Mtoto wa watu Penny hana hiana Hata kidogo.
KEMEMkuu ww ni Ke au Me?
KEME
MEKE[emoji23]
MEKE
Dont worry KEME au MEKE sio muhimu.Tupige issue ya LEGE .....ndio mpango.Unahamisha magoli
He is no moreCaptain Amos ni fourthly Agent aisee....!!!!.....atapasuka msamba...
Yaani huyu Naona hana kuremba kabisaPicha linaanza mathew na eli watakuja gombana sbbu ya peniela uku naomi nae anataka kwa eli aisee inaonekana eli handsome [emoji134]
Rose Jasili hata brother man Jason haoni ndaniIla Rosemary ana jeuri sijapata ona...dah
Amos kama mfungwa hachagui gerezaDah! huyu Amos kama ni spanner au funguo basi malaya kwa maslahi kwanza kama Teabag wa Prison break.
Naona kuona tu mwili WA Penny jamaa ngunga zimemjaa hadi kachafua boxerKikubwa anachosema ameumizwa sana sana kupoteza familia yake ambayo inamuwia ngumu kupenda tena.Nafikiri anataka kuchukua muda kwanza ili akipenda apende kweli na inaelekea yuko fit vibaya maana ile kumuona tu Peniela tayati mzigo ukasimika ndiiii.Kwa hiyo inonyesha siku siku akikamata demu ataimbamooo nyimbo zamababu wote .
Kudadadeki Peniela ni jipuNaona kuona tu mwili WA Penny jamaa ngunga zimemjaa hadi kachafua boxer