Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,283
Yaani kama chai umetia sukari nyingiiii au kama mtu kajipaka mafuta mengiii(kajidodeka)hadithi hii msisimko umepitiliza hongera sana LEGE haichoshi kuisoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shusha tuu mkuu usiku mzima naisubiria.haina shida mkuu naishusha sio mda hii story kama nimwajiliwa unaweza ukatumbuliwa aisee
kwema wakuu vipi tuendelee?? mshamaliza kusoma
haina shida mkuu naishusha sio mda hii story kama nimwajiliwa unaweza ukatumbuliwa aisee
endelea mkuu!kwema wakuu vipi tuendelee?? mshamaliza kusoma
haina shida wakuu naibwaga sio mda .ili iweze kusindikiza idd
Aisee itakua poa sana jana nillala saa nane story kali sanahaina shida wakuu naibwaga sio mda .ili iweze kusindikiza idd
hii story sio ya kuiweka katikati ya week maana kuna watu watatumbuliwa maofisini
Usifanye hivyo bwana.wewe tuwekee tu hayo mengine tutajua sisi.hii story sio ya kuiweka katikati ya week maana kuna watu watatumbuliwa maofisini