Mmhdaa hawa halotel washaanza kuzingua
Mlevi mwenzangu!!!unajua kbsa hata LEGE akishusha vitu hamu haitaishapouw kaka ht ukianza kbis na season y 4 co vbaya
daa hawa halotel washaanza kuzingua
Hahahahahaaaaa, husifanye wenye furaha wakanuna ghafladaa hawa halotel washaanza kuzingua
Pooooyyeee si eti? Nadhani kasaver kao kanaelemewa saizi.[emoji4]daa hawa halotel washaanza kuzingua
Toka Elibariki afumaniwe na Penny kutaka kuanzisha mahusiano na Matthew ili kulipiza kisasi, naona uvivu kuisoma hii story sehemu iliyosalia.
udini kivipi mkuu
Mkuu! Huku hatuna ml.7' Acha uchochezi, huku ni storrr tu"
Watu wenye chokochoko kama wewe ni hatari kuliko kirusi Aby, umeona mjadala unakwenda vizuri sasa unataka kuwatoa watu nje ya mstari. Kama hauna cha kuchangia kaa kimya Mkuu.cheki majina ya wahusika utajua
Pole sana...cheki majina ya wahusika utajua
Na haya anayoendelea kufanya ndio anaharibu kabisa. Haya bana. Nilikua namkubali sana mchiziJikaze tu Me mwenyewe nilikuwa hivyo ila Eli alisha tudhalilisha we njoo uone Madudu yake
Watu wenye chokochoko kama wewe ni hatari kuliko kirusi Aby, umeona mjadala unakwenda vizuri sasa unataka kuwatoa watu nje ya mstari. Kama hauna cha kuchangia kaa kimya Mkuu.
Muache akachunwe ngozi.... Kama akiri huna watu wakufanyeje... Eti ndio awe prezdaa..,???.. [emoji23][emoji23][emoji23].... Mkozumi nae kama kachanganyikiwa na wazo lake.... Firstlady to be eti penny... [emoji23][emoji23][emoji23]..... Mkozumi bhana.... Siju nae ana lipi la uvunguni... [emoji23][emoji23][emoji23]Huyu Jaji wa Mahakama Kuu hana akili za kupambanua mambo, eti anataka kumuangukia Dr. Joshua? Hajui Joshua ana hasira za kifo cha binti yake.
Lege ahadi yako hii..WAKUU TUFANYE HIVI 2 KAMILI HAIFIKI NITAKUWA NIMEWEKA MZIGO NA KUIMALIZA KABISA SEASON YA 3.
natamani sana nibwage mzigo uishe lkn mambo yananisonga kidogo lkn sio mbaya maana kwa siku lazima zifike sehem 5 nazaidi. ningesema niweke kila siku sehem 1 tungekesha
We tujambishe tuuu.... [emoji32][emoji32][emoji32]daa hawa halotel washaanza kuzingua