Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Nimetoka kucheza Drafti nimekuja mbio mbio aisee. Saa mbili mbali mkuu tupiamo hata moja ya kusubiria.
 
Kilichobaki ili kazi iwe rahisi... Penny atoe papuchi kwa fernando au vicent, lakini tayari kashammanulia deus ambae ni partner wa vicent.... Labda kwa fernando... Si ndio silaha take ya maangamizi.... Papuchi ake..
Na huko walikokwenda kujificha penny na mathy.. Kuna jipya lenye kuleta matumaini..... Ila tusiwasahau team sc41... Nao wanahaha... Kujua penny alipo....
Ila mpaka hapa team sc41 ... Yote ya east africa sawa na mathy mmoja....
 
Huyu Jaji wa Mahakama Kuu hana akili za kupambanua mambo, eti anataka kumuangukia Dr. Joshua? Hajui Joshua ana hasira za kifo cha binti yake.
Muache akachunwe ngozi.... Kama akiri huna watu wakufanyeje... Eti ndio awe prezdaa..,???.. [emoji23][emoji23][emoji23].... Mkozumi nae kama kachanganyikiwa na wazo lake.... Firstlady to be eti penny... [emoji23][emoji23][emoji23]..... Mkozumi bhana.... Siju nae ana lipi la uvunguni... [emoji23][emoji23][emoji23]
 
WAKUU TUFANYE HIVI 2 KAMILI HAIFIKI NITAKUWA NIMEWEKA MZIGO NA KUIMALIZA KABISA SEASON YA 3.

natamani sana nibwage mzigo uishe lkn mambo yananisonga kidogo lkn sio mbaya maana kwa siku lazima zifike sehem 5 nazaidi. ningesema niweke kila siku sehem 1 tungekesha
Lege ahadi yako hii..
 
Back
Top Bottom