Joshua hana ubavu wa kumfanya Eli awe President, kumbuka Rose anautaka Urais na anataka Joshua amfanyie mpango wa kuwa Rais.kama mimi nimeruka upouuzi anaimwambia dr Joshua aisee...of course tunaufahamu ila inatia kinyaa alivowasaliti wenzie
But wait, ina maana sasa chizibariki ana back up ya watu wawili Deus na Dr Joshua kuwa next president, the end justifies the means?
Firs lady atakua anithaIn the end, Mathew will become President of the URT and Peniela as the FL.
Ila mi ntaendelea kubaki vilevile Muzee kamanda "John Mwaulaya Albert"Watendee haji Characters wote, wala usimruke, kama mtunzi angekua na tabia hizo nakuhakikishia hii hadithi ingeharibika kitambo sana kama ilivyoharibika ile ya Danny Mapapuchi mpaka haiendelei tens baada ya kusimama kama gari iliyo knock engine. Lakini kwenye hadithi hii naamini huko mbele hata Mathew mtamchukia na mtashangaa mtajikuta mnampenda Dr. Joshua na Rosemary Mkozumi. Kuna watu humu watajiita Dr. Joshua na wengine watajiita Rise Mkozumi.
Ushakufa sasaIla mi ntaendelea kubaki vilevile Muzee kamanda "John Mwaulaya Albert"
Ila Legacy yangu inaishiUshakufa sasa
Huyu hata mimi nilimkubali sana. Pia kuna Mathew, Deus Mkozumi, Anitha the Hacker.Ila mi ntaendelea kubaki vilevile Muzee kamanda "John Mwaulaya Albert"
Source ya taarifa hii tafadhari ili nikawe mh jaji niwashikeshike watoto wazur ata kama ntakua yudaTAARIFA MUHIMU KWA WOTE.
Kwa kushirikiana na Clouds Media Group na Azam Media ,tunatafuta wasanii watao weza kucheza tamthilia hii,vigezo uwe na kipaji na walau uwe na uwezo wa kufit katika waigizaji wa kuu wa stori hii ya PENIELA,kwa walio tayari wani PM kwa mawasailiano zaidi.
NB .kwa wakina dada watao taka kuigizia kama PENIELA watafanyiwa usaili wa kivitendo ili kudhihirisha uwezo wao ila wengine wote mnaweza mkafanyiwa usaili wa kawaida tu.
Kumbuka,malipo yako na mkataba vitazingatiwa kisheria kama utakuwa umefuzu vigezo vyetu.
Mwisho wa kutuma maombi ni 30/9/2016 saa sita usiku
Mratibu na msaili wa wasanii wa tamthilia ya PENIELA.
A.Tatu
21/9/2016
TAARIFA MUHIMU KWA WOTE.
Kwa kushirikiana na Clouds Media Group na Azam Media ,tunatafuta wasanii watao weza kucheza tamthilia hii,vigezo uwe na kipaji na walau uwe na uwezo wa kufit katika waigizaji wa kuu wa stori hii ya PENIELA,kwa walio tayari wani PM kwa mawasailiano zaidi.
NB .kwa wakina dada watao taka kuigizia kama PENIELA watafanyiwa usaili wa kivitendo ili kudhihirisha uwezo wao ila wengine wote mnaweza mkafanyiwa usaili wa kawaida tu.
Kumbuka,malipo yako na mkataba vitazingatiwa kisheria kama utakuwa umefuzu vigezo vyetu.
Mwisho wa kutuma maombi ni 30/9/2016 saa sita usiku
Mratibu na msaili wa wasanii wa tamthilia ya PENIELA.
A.Tatu
21/9/2016
SIYO TAPELI MIEπ‘π‘π‘π‘ππππAcha utapeli.
SOURCE IPI TENA WATAKA?MIE HUNIAMINI AU?Source ya taarifa hii tafadhari ili nikawe mh jaji niwashikeshike watoto wazur ata kama ntakua yuda