Huyo aliyekua anarusha kwingine.Na nani tena?
umebarikiwa majivuno na kashifa ila nimekuelewa japo ushauri wako una ukakasi [emoji114][emoji114][emoji114]Acha ujinga ndio nn sasa ku quote story yote unaboa
SijakuelewaShunie unaonaje nikipata kabinti kengine kwa kukushirikisha?
Shunie bhana! Hapa nina kabinti kamoja sasa nishirikiane nawe tumpate binti wa pili.. tufanye kile mwamuzi Elibariki na Naomi wamefanya.Sijakuelewa
Aisee mm siwezi ivyo vituShunie bhana! Hapa nina kabinti kamoja sasa nishirikiane nawe tumpate binti wa pili.. tufanye kile mwamuzi Elibariki na Naomi wamefanya.
Mmmh kumbe mmekimbilia huku OK tupo pamoja hii tamu zaidNipo yaan acha tu mpk nifike mlipo sio leo [emoji134]
Hatimaye nimewakuta[emoji36][emoji36] mliniacha mbali sana.
tupo uku karibuMmmh kumbe mmekimbilia huku OK tupo pamoja hii tamu zaid
Sikusamehi hadi unipe buku!WAKUU NDIO NAINGIA HOME NA NDIO NAINGIA JF TOKEA ASUBUHI POLENI SANA WAKUU .MNISAMEHE SANA
Shukran tuliza akili pumzika ukiwa poa najua unajua jinsi watu walivyo na ugwadu wa muendelezo.WAKUU NDIO NAINGIA HOME NA NDIO NAINGIA JF TOKEA ASUBUHI POLENI SANA WAKUU .MNISAMEHE SANA
Pole na majukumu KamkubwaWAKUU NDIO NAINGIA HOME NA NDIO NAINGIA JF TOKEA ASUBUHI POLENI SANA WAKUU .MNISAMEHE SANA
Pole na majukumu ila ili mi nikusamehe tuma kama kumi hivi lolWAKUU NDIO NAINGIA HOME NA NDIO NAINGIA JF TOKEA ASUBUHI POLENI SANA WAKUU .MNISAMEHE SANA