Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Free country mkuu .....haikuhusu kabisaaa
Haihusu kivp sasa kutujazia mathread humu kwa mashudu yakoo ambayo hata nguruwe hanusiii? Achaa tabia za kijaji Man? Kina Mathew watakupaka kilainish
 
Haihusu kivp sasa kutujazia mathread humu kwa mashudu yakoo ambayo hata nguruwe hanusiii? Achaa tabia za kijaji Man? Kina Mathew watakupaka kilainish
Unakoelekea siko mkuu jiheshimu sana.
 
Alafu mkuu LEGE hakuna kitu kizuri kama kuwa recognised kwa kazi nzuri ninahakika hata wewe unafurahia tunavyokuitaita humu.tungekuwa hatukusumbui ungeona hii story bomu.So please take it positive and respond promptly.😀😀😀😀😀😀😀😀au vepeeee
Bonge la point mkuu
 
Shukurani Lege. Hapo sawa sasa ngoja nilale. Ila mchana ukipata muda tupiamo tuwili tutatu hivi.
 
Back
Top Bottom