respect wa boda
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 4,556
- 3,842
mm niliosoma ngoja nitakufanyia mpango nione utaipataje?? upo wapi mkuu kama upo dar nitafute kazi za husen tuwa ninazo zote na now anatoa nyingine ya kuijasusi kipelelezi inaitwa WIMBO WA GAIDI hiyo hata hii ya peniela inasubili mkuu.kama utataka nikulambishe nayo
sema huwezi kupangilia muda wako!Nikimaliza hii story sisomi tena story nyingine imenipotezea mda wangu mwing na wakat mwingine kunilaza usiku sana sitaki tena ikiisha hii[emoji23] [emoji23]
Nahisi Mathew atamchukua Anna.Peniela ni jamvi la wageni duh.Kareem naye kajilia, bado mr deus, mathew atakuta papuchi imekuwa pango[emoji6][emoji6][emoji6]
Hata mimi naona Mathew mhhh....Lakini Anna ndio atatoka na MathewDuh! Methew ana wivu balaa hata mipango ya kazi anaisahau haya mapenzi acha yaitwe majina yote.
kiukweli mkimbizi hakipo kilisha kwisha coz wanafunzi wa chuo wanakitumia hivyo kimekuwa adimu sana alisema atatoa copy nyingine lkn sio kwa karibuni coz kuna kazi mbili anazifyatua nazo ni wimbo wa gaidi na mtafiti.ukitaka vitabu vya tuwa utapata mtuhumiwa,mdunguaji na utata nazani hivyo vipo vya kutosha mkuu,Mkuu tafadhali sana,
Kuna mzigo wa Tuwa wa MKIMBIZI nifanyie mpango tafadhali nipo Dar kwa muda napatikana kirahisi pale Kariakoo, hata hiyo WIMBO WA GAIDI naitaka pia.
Fanya mpango mkuu
BACK TANGANYIKA
Niazime mmkiukweli mkimbizi hakipo kilisha kwisha coz wanafunzi wa chuo wanakitumia hivyo kimekuwa adimu sana alisema atatoa copy nyingine lkn sio kwa karibuni coz kuna kazi mbili anazifyatua nazo ni wimbo wa gaidi na mtafiti.ukitaka vitabu vya tuwa utapata mtuhumiwa,mdunguaji na utata nazani hivyo vipo vya kutosha mkuu,
ungekuwa ni mkazi wa dar ningesema nikuazime cha kwangu mkuu
Mkuu, kitabu cha peniel kipò?kiukweli mkimbizi hakipo kilisha kwisha coz wanafunzi wa chuo wanakitumia hivyo kimekuwa adimu sana alisema atatoa copy nyingine lkn sio kwa karibuni coz kuna kazi mbili anazifyatua nazo ni wimbo wa gaidi na mtafiti.ukitaka vitabu vya tuwa utapata mtuhumiwa,mdunguaji na utata nazani hivyo vipo vya kutosha mkuu,
ungekuwa ni mkazi wa dar ningesema nikuazime cha kwangu mkuu
Eenh [emoji134] [emoji134]haina shida mkuu ila plz plz plz plz .isije ikawa ni kama vitabu vya msiba kuna kitabu kile cha kisasi ni kama kina laana ukimwazima mtu hakiwezi kurudi na ukizubaa lazima kiibiwe