Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyu eli ni zaidi ya nyoka wanaume dizain hii dar wamejaa sana mxxiuue
kabisa yaan, story za Eli zinaboaaakwa ilipofikia nataman niisome kutokea mwisho kuja hapa
Yaani lipo lipo tu kama wanaume wa Dar.Aisee Elibariki kawa nyoka,anatema sumu balaa.
Kweliii aseeee. Cjuiii itakuwajeee semaa Mathew inaonekana bado yuko na nguvu sababu amesepa kimafiaa na Jason hajui alipoelekeaa na annitha kulee inaweza kutokea chochote akafaa au yule mtesajii akamsaidiaa Kama kashajichanganya kumchoma dawa ya kupunguza maumivu kunakitu itatokeaHivi ni Mimi tu niliyeboreka na hizi episodes za mwisho?? Sehemu kubwa imekuwa ni mambo tunayoyajua tayari so imekuwa kama marudio.....Hii story bila Mathew na Penny hainogi sijui???arrgh[emoji30]