Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Joshua anazidi kutanua wigo wa maadui na kuwaongeza....
Ina maana jocob kateka mkuu wa usalama wa taifa hana a,b,c zozote kuhusiana na package...??.. au anausoma mchezo...??..
 
Mwandishi ana story nzuri sana lakini tatizo ipo kwenye kurudia rudia sana matukio, alipaswa kuepusha hili ili aweze kuteka zaidi attention za wasomaji wake
Mi kuna sehemu sisiomi kabisa ni kisha pata picha ya kinachofuata, mfn Ishu ya Dr. Joshua waalivyoingia kwenye mahusiano na Peniela, nimeipotezea yote, ikapita hivi, nikatafuta sehemu ya Mathew ndio nikaendelea na simulizi.
 
Sasa hili linalocopy hadithi yote zimo kweli??
Toa comment tu huna haja ya kuingiza quatation ya hadithi yote.mwandishi tayari keshatuwekea hadithi wewe wairudia ili iweje?
 
LEGE heshima yako ni kubwa sana humu naomba sana utimize ahadi.Tumekupandisha chati sisi tumia vizuri nafasi yako mkuu.
 
LEGE heshima yako ni kubwa sana humu naomba sana utimize ahadi.Tumekupandisha chati sisi tumia vizuri nafasi yako mkuu.
Tumeachana hadi na kit.ombi danny anayeokolewa na.wanawake Mara majini aaah
 
bonge la stori sio kama ile ya kutegemea kubonyeza batani na kuokolewa na majini
 
Ni kweli unachosema kwamba yupo sahihi lakini inaweza kuwa sio sahihi vile vile. Msomaji anaona kama anayarudia yale yale hivyo inamboa. Kwa hiyo logic yako ni iwe ndefu yenye marudio au iwe fupi yenye kuleta mtiririko wenye kuvutia?
Sikubaliani nawewe..ule mtiririko ndio unaotakiwa.
 
Back
Top Bottom