Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi kuna sehemu sisiomi kabisa ni kisha pata picha ya kinachofuata, mfn Ishu ya Dr. Joshua waalivyoingia kwenye mahusiano na Peniela, nimeipotezea yote, ikapita hivi, nikatafuta sehemu ya Mathew ndio nikaendelea na simulizi.Mwandishi ana story nzuri sana lakini tatizo ipo kwenye kurudia rudia sana matukio, alipaswa kuepusha hili ili aweze kuteka zaidi attention za wasomaji wake
Huyu kiumbe hakuna Nanma tunaweza fanya Tukamtoa humu
Maana hii sasa kerooo
Acha bangi[emoji106][emoji106][emoji106]
Acha us.en.he basi[emoji106][emoji106][emoji106]
Tumeachana hadi na kit.ombi danny anayeokolewa na.wanawake Mara majini aaahLEGE heshima yako ni kubwa sana humu naomba sana utimize ahadi.Tumekupandisha chati sisi tumia vizuri nafasi yako mkuu.
Mkuu naomba link ya story ya DannyTumeachana hadi na kit.ombi danny anayeokolewa na.wanawake Mara majini aaah
Hayo ndio yanaitwa mazuzu.Mambo gani sasa hayo ya Ku quote story yote mkuu!?
Nahakika unahitaji kupimwa medula maana ktk hali ya kawaida huwezi fanya upuuzi huu[emoji106][emoji106][emoji106]
Sikubaliani nawewe..ule mtiririko ndio unaotakiwa.Ni kweli unachosema kwamba yupo sahihi lakini inaweza kuwa sio sahihi vile vile. Msomaji anaona kama anayarudia yale yale hivyo inamboa. Kwa hiyo logic yako ni iwe ndefu yenye marudio au iwe fupi yenye kuleta mtiririko wenye kuvutia?
Kumekucha.salaam huko? Naamini unarekebisha mambo.kazi nzuri !MDA UKIRUHUSU NASHUSHA 5 ZINGINE USIPO RUHUSU TUTAONANA KESHO WAKUU.MIDA YA SAA 2 MBILI HIVI
Mwambie atunge na yeye yake aipeleke kule kwenye jukwaa la "kupaka kitumbua mate"Sikubaliani nawewe..ule mtiririko ndio unaotakiwa.
hiyo siri ilikuwa ni kufahamu kilichomo ktk package ile na alisha mwambia anitaMathew ana siri kubwa kutoka kwa Mzee mzima John Mwaulanga Albert ambayo hata Peniela haijui.