Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu gani hichoNajuta kuijua Peniela. Nimekuwa busy lkn bado nahisi kuna kitu hakipo sawa
Jaribu kuwa muwazi kwani hutuamini.Najuta kuijua Peniela. Nimekuwa busy lkn bado nahisi kuna kitu hakipo sawa
Mimi pia bora ingekuwa imeisha, ila kuisubiri ni bonge la adhabuNajuta kuijua Peniela. Nimekuwa busy lkn bado nahisi kuna kitu hakipo sawa
Pole mwaya imeathiri wengi ila tuliahidiwa after 2 weeks japo naona wanga/wachoyo washaanza kuchawia.Najuta kuijua Peniela. Nimekuwa busy lkn bado nahisi kuna kitu hakipo sawa
Kwamba nimeimiss Peniela pamoja na kujibaraguuza kwa ubusyKitu gani hicho
Santeee mwayaaa...vp ulipata soft copy ya Hofu nn maana hujanitafuta tena.Pole mwaya imeathiri wengi ila tuliahidiwa after 2 weeks japo naona wanga/wachoyo washaanza kuchawia.
Kuna kitu anajaribu kumaliza ili kuweka mambo sawa tumpe mudaKwamba nimeimiss Peniela pamoja na kujibaraguuza kwa ubusy
Bado, nitakutafuta nataka nitoe makandokando kwanza ili weekend niwe free ila kama hutajali waweza nipatia kesho hard copy nitarejesha MonSanteee mwayaaa...vp ulipata soft copy ya Hofu nn maana hujanitafuta tena.
Nimekukera kwa lipi?, au kushauri kutoa shekeli kwa huduma unayonufaika nayo?, acha kupenda dezo, ulimwengu wa kibepari huu, kila kitu hela mazee!.MMELAZIMISHWA KUJA HUKU???
ACHENI KUWA KERO
Piga ua lazma chizi bariki anaundugu na le profesier lipumba bisha!
Hii story imeshaisha wadau nianze kuiasoma?
Wasalimie ndanda karibu lukulediKazi hazifanyiki
Nmejigundua mimi ni mbovu wa riwaya
Siumeambiwa askar walikua nje ya uzioSiku askari walipozunguka nyumba ya peniel
Mkuu ni kwel umefika ila hapa kunafolen balaa, peniel atarudi baada ya wiki 2, na hapo uombe uwe mzima...Hii stori tamu sanaaaa sanaaaa yani tamuuuuuu sanaaaaa
Mkuu ni kwel umefika ila hapa kunafolen balaa, peniel atarudi baada ya wiki 2, na hapo uombe uwe mzima...