Peniela (Story ya kijasusi)

Peniela (Story ya kijasusi)

Yyyg
tutghttp://
F☆☆☆
 
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] aaaaarrgghhh.... imeisha vibaaayaa[emoji37] [emoji37] [emoji82] [emoji82] [emoji125] [emoji125]
 
mm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
mkuu na mimi naweza kupata soft copy ya vitabu vya msuiba kama inawezekana?naomba nitumie inbo
 
Mtunzi alianzia vizuri mno mwishoni kelele za mashabiki zikamchanganya akapoteana.

Namshauri siku nyingine asirushe hadithi mtandaoni kabla haijakamilika ili kuepusha kelele za mashabiki.
 
Mkuu LEGE Mbona Umetuacha Njia panda?
Si ulituahidi kutufundisha WIMBO WA GAIDI!!
mkuu navimeo kibao navitabu kama vitatu hivi vipyaaa basi ni shida tupu mda umekuwa mzozo sana.

kuna kitabu cha mzee beka mwanamaji kakitowa ,kipo kingine cha joram kiango kiguu na njia na cha kubwa lao tuwa wimbo wa gaidi
 
mkuu navimeo kibao navitabu kama vitatu hivi vipyaaa basi ni shida tupu mda umekuwa mzozo sana.

kuna kitabu cha mzee beka mwanamaji kakitowa ,kipo kingine cha joram kiango kiguu na njia na cha kubwa lao tuwa wimbo wa gaidi
Nashukuru kwa kunipa likizo....hahaaa ha haaa
 
mkuu navimeo kibao navitabu kama vitatu hivi vipyaaa basi ni shida tupu mda umekuwa mzozo sana.

kuna kitabu cha mzee beka mwanamaji kakitowa ,kipo kingine cha joram kiango kiguu na njia na cha kubwa lao tuwa wimbo wa gaidi
Please jitahidi japo kidogo kidogo tupate wimbo wa gaidi
 
Back
Top Bottom