Davet
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 42,445
- 205,933
Ooh! Sawa aisee nafurahi kukuona hukundio mm mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh! Sawa aisee nafurahi kukuona hukundio mm mkuu
F☆☆☆
[emoji23] [emoji23] [emoji23] huu ni ushoga kweliUshoga wako usiulete uku.
Umemfananisha na D..... Aden nn?Nakufananisha na mkaka ana jina kama lako anaishi arusha
Hahahahhh sioUmemfananisha na D..... Aden nn?
mkuu na mimi naweza kupata soft copy ya vitabu vya msuiba kama inawezekana?naomba nitumie inbomm vitabu vyote vya msiba nimesoma na kama unataka story zake naweza nikakupatia nikifungua kwenye makarabrasha yangu ya soft copy. hivyo vitabu vya msiba hata uje unatoa mchozi sikuazimi.
mkuu navimeo kibao navitabu kama vitatu hivi vipyaaa basi ni shida tupu mda umekuwa mzozo sana.Mkuu LEGE Mbona Umetuacha Njia panda?
Si ulituahidi kutufundisha WIMBO WA GAIDI!!
Nashukuru kwa kunipa likizo....hahaaa ha haaamkuu navimeo kibao navitabu kama vitatu hivi vipyaaa basi ni shida tupu mda umekuwa mzozo sana.
kuna kitabu cha mzee beka mwanamaji kakitowa ,kipo kingine cha joram kiango kiguu na njia na cha kubwa lao tuwa wimbo wa gaidi
Please jitahidi japo kidogo kidogo tupate wimbo wa gaidimkuu navimeo kibao navitabu kama vitatu hivi vipyaaa basi ni shida tupu mda umekuwa mzozo sana.
kuna kitabu cha mzee beka mwanamaji kakitowa ,kipo kingine cha joram kiango kiguu na njia na cha kubwa lao tuwa wimbo wa gaidi
Utaimaliza mwakani. La sivyo ukeshe kila siku.Dah ndo nimemaliza season 2 ep 35. Naona silali leo