Penny amchana Diamond....Adai angezaa naye angemharibia midomo na sura za watoto wake...!!

Nasikia kutapika nikisoma mavitu ya dayamondi
 
Kashalowa huyo mwache apunguze stres
 

We pimbi kweli..watanzania gani unawazungumzia hapa..hebu tutoleeni mautumbo yenu hapa msije kutufanya tupigwe ban
 
vp denda ulikuwa huoni hilo domo la karai?aaa usijali utampata mwingine ila acha kuvuta sigara na kujichubua ww ni bomba
 
Sionagi uzuri wa huyo mwanamke anayeitwa peni.
 
utumbooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
 

Money Stunna tafadhali hili ni jukwaa la siasa na sii udaku! Mods tafadhali ondoa hii kitu uipeleke panapohusika
 
kitalaamu hii inaitwa defensive mechanism
 
We pimbi kweli..watanzania gani unawazungumzia hapa..hebu tutoleeni mautumbo yenu hapa msije kutufanya tupigwe ban

Watanzania kama wewe hammo kwenye hiyo list. Na uache roho ya kichawi kumchukia mtu bila sababu. Tafuta mafanikio acha chuki binafsi haitakusaidia zaidi ya kua mchawi. Pimbi Baba yako, kuku weee!
 
Leo thamani ya mwanamke wa kitanzania imeshuka kama shilingi. Na haya ndio matokeo yake, msanii wa kike anatembeza k... Kama pipi', kwa gharama ndogo mwanaume yoyote anaweza kupata mapenzi kutoka kwa msanii wa kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…