Penny amchana Diamond....Adai angezaa naye angemharibia midomo na sura za watoto wake...!!

Kuna huyu mpiga picha ake sijui wa kuitwa Heaven Desert anasemaje sasa maana alishasema Diamond hamuachi Penny.
 
Last edited by a moderator:
Habari imebase kwenye umbea zaidi. Source...?! Isitoshe Diamond amehojiwa jana tu magic Fm na amekanusha habari za kuachana na mpenzi wake Kalamu.
 
Nilijua tu,mdogo wangu diamond hawa mademu hawakupendi kwa dhati,wanakupendea pesa zako,na umaarufu,ww eti unajiona unapendwaaaa! Tafuta mwanamke classic uoe,achana na viruka njia,siku umaarufu wako ukiisha na vijisenti vyako kuisha,ndo utakumbuka maneno yangu!
 
so what?
 
Huyo pen kasoma chuo gani huyo ni formfour jamani na ww mdogo wangu diamond punguza kulamba papai maana wengine wanachanganyikiwa unavyolamba papai na hilo domo lako kubwa papai lote linaingia huko unaona sifa ngoja siku utapobabuka hilo domo
 
Leo thamani ya mwanamke wa kitanzania imeshuka kama shilingi. Na haya ndio matokeo yake, msanii wa kike anatembeza k... Kama pipi', kwa gharama ndogo mwanaume yoyote anaweza kupata mapenzi kutoka kwa msanii wa kike.

Kwa gharama ndogo kwani wanawake wanauza? we vp? au hiyo imekuwa biashara? wanaume wenyewe masikini wakipandishiwa bei wataweza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…