Penny: Diamond hana chake, nimesha poswa

Penny: Diamond hana chake, nimesha poswa

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
MTANGAZAJI aliyewahi kujiachia kimalovee
na Nasibu Abdul ‘ Diamond ’ , Penniel Mungilwa
‘ Penny’ amesema mwanamuziki huyo kwa
sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na
hawezi kumpata tena
Kauli ya mwanadada huyo ilikuja baada ya
kuulizwa kama anaafikiana na kauli ya mama
wa Wema Sepetu , Miriam Sepetu kwamba,
kwa kuwa Wema kamuacha Diomond basi
staa huyo wa Wimbo wa Mdogomdogo bora
akampose yeye.
“Mmh ! Hapa suala la Diamond kurudiana na
mimi halipo kabisa maana simhitaji yeye
wala mwanaume mwingine yeyote , mimi
ninaye wangu tayari ambaye
ameshanichumbia hivyo sitarajii kabisa kuwa
na mwingine zaidi yake, ” alisema Penny .
 
Mhhhh,tena nasikia jamaa mwenyewe ana wivu balaa..ila mbona nasikia bado anatoka na diamond?
 
Kuna watu however ugly they may be, bado wanajipa hope na wanajidai balaa.. Nampongeza kwa hilo
 
Penny ana sura kama mashine ya kusagia unga

Na hiyo shape kama kabati la kekoo...

Alikuwa anajishaua ooh nina mahaba, ooh mtoto wa tanga...na kaachika...Chezea wanaume wa bongo...Mahaba peleka india huko....!
 
Back
Top Bottom