the american dream
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 1,755
- 835
Hao nao wanawake si wanyamaze?Wanapenda malumbano at the end wanazidi kujiaibisha wenyewe
Poa tu kwani anadaiwaSAA hivi cjui huyu penny anajisikiaje
Mmhhhh kwani huyo tiffah je c mtoto wake?tasa yule
AhahahahaaaqHata kama ndomo simpendi ila hapa kuna utata.
Mbona hao wanawake wanatembeza sana nyapu zao! Ina maana na wengine wameshindwa!
Basi kama ni hivyo tuseme wanaume wote ni tasas na wao ndio wazima kwa sababu nimepiga hesabu ya fasta hapa wanaume aliotembea nao Penny wanajaa kwenye bus la SAIBABA la Dar-Nairobi.
Mmhhhh kwani huyo tiffah je c mtoto wake?
HahahahahahahahahahahaHata kama ndomo simpendi ila hapa kuna utata.
Mbona hao wanawake wanatembeza sana nyapu zao! Ina maana na wengine wameshindwa!
Basi kama ni hivyo tuseme wanaume wote ni tasas na wao ndio wazima kwa sababu nimepiga hesabu ya fasta hapa wanaume aliotembea nao Penny wanajaa kwenye bus la SAIBABA la Dar-Nairobi.