Kweeli kutesa kwa zamu.Kuna kipindi aliteka mitandao ya kijamii haswaaa
Ame edit ,alikosea kweliAcheni uongo mbona hajakosea kitu rudia Kusoma.Warumi yupo fit ninyi..yeye Ndo King of Celebrity forum Nyie mliokuja Na mbio za Mwenge humu kujifanya mnajuaaaa...
Kama una namba yake ni PMIla penny katulia tulia sio mtu wa kik, alijichanganya tu kuingia kwa mtoto wa Tandale
Ehehehej unakimbizwaaaa?Aaah jaman mnisamehe,warumi ni kizungu wapi na wapi, nimeweka madoido mwenyewe aaaah
Mwenye nguo ya njano au yellowSasa ndo yupi hapo huyo pen?
Asante mkuu nimekupata!Mwenye nguo ya njano au yellow
Yap alijichanganya tu anavoonekana sio mtu wa dramaInaonekana pale alipotea njia maana baad y masinema yake kuisha amebak tuliiii
diamond ndio alikuwa anawapa majina hao woteNadhani ameona umaarufu ni zigo la mawe, unaishi kwa matakwa ya watu na sio matakwa yako. wema mwenyewe naona ameamua kujipumzisha kwa mda.
Hata ingekuwa kichochoroni ili mradi ilikuwa Ulaya lazima izungumziwe.Kwani ukisema alikuwa anapiga show sebuleni utapungukiwa nini?
Ww ni kidoti unataka tukujueje zaidi?Ali anatamba mjini anapiga show Ulaya enzi hizo baba ako Dimond anaosha vyombo studio kwa bob Junior.
Siku nyingine ukirudia tena kumfananisha Ali na vitu vya kijinga jinga ndio utanijua mimi ni nani.mashavu yako.