Moja ni hiyo ya Misri kutaka kupeleka Urusi makombora kuisaidia Urusi. Nyengine namba za maafa kwa upande wa Urusi ni za kutunga. Na kwamba Ukraine kaishiwa silaha na anapoomba ananyimwa kwani na wao pia wameishiwa wanahofia kumpatia kama anavyodai,Hebu anza kujadili hizo kwanza.Siri zenyewe ziko wapi?
Hii si ya mchongo .Nyengine kasome washington post.Siri za mchongo
Watu wamehamia Ufilipino huko wanapiga zoezi la kufa mtu, China ajuta kuizunguka Taiwan kwa siku 3, amejikuta akizingirwa yeye kupitia UfilipinoWiki hii imekuwa mbaya sana kwa Marekani na ulimwengo wote wa kielektronik baada ya siri zote za Marekani za karibuni kumwagwa hadharani kwenye mitandao.
Mwanzoni Pentagon ilisitasita kukubali kashfa hizo lakini hatimae wamekubali kwamba ni chache sana ambazo ziliongezwa kidogo lakini zote zilizobaki ni kama zilivyo kuwa.
Katika kuvuja huko kwa siri za kijasusi kumeathiri sana kubadili mwelekeo wa vita vya Ukraine kiasi kwamba sasa Ukraine imepata pigo jengine la kubadili kile walichokusudia kukifanya katika vita.
wakati Marekani ikiwafungasha wenzake kupigana na Urusi kupitia Ukraine na ikijaribu kuitenga Urusi kumbe imegundulika hata mataifa madogo kama Misri imepanga kuipelekea Urusi makombora karibu 40 elfu.
Mpaka sasa haijajulikana siri hizo nyeti kama zilivyoandikwa zimemwagwa hadharani na nani.Haijulikani ni kuzidiwa nguvu kiteknolojia kwa Marekani na Urusi au ni uasi tu wa ndani ya Pentagon kama ilivyokuwa kwa wikileaks.
Mtu mzima akivuliwa nguo au nguo zikimdondoka hadharani huwa tunasema ni uchimvi.Hbari hizi zina trend kwenye media mbalimbali za kimataifa! Kwa kweli Marekani amevuliwa nguo kwa mara ya nyingine.
hahahaaaaAmi mla urojo, huu mzaha sio mzaha??
ami J weka siriJamii forum siku hizi imejaa wajinga sana.... hayajui hata kinachoendelea duniani.. yanataka kila kitu yatafiniwe ndo yaelewe.....hivi atakuwa na uwezo gani wa kuanika document zoote zilizo leak humu jamii forums ili nyie mzisome mlidhike?.... nyambafu nendeni kwenye vyanzo vya habari mzitafute huko zipo nyingi tu...